Naomba msaada kuhusu Sheria za Uhamiaji

Ndongaa

Member
Aug 17, 2018
7
2
Kama nimezaliwa Tanzania, baba yangu ni Mtanzania na mama si Mtanzania, anaishi kwa dependant pass, je mimi ni raia au si raia? Juzi nimekamatwa na Uhamiaj kuwa sijaapa kukana uraia wa mama.
 
Elezea ila usitaje uraia wa wapi wa Maza, wala lolote la wewe kutambuliwa.

Wakisema hujaukana je una uraia wa TZ na kwa Maza?
 
Kama umezaliwa Tanzania wewe ni Mtanzania because you have Tanzanian birth certificate and your dad is Tanzanian citizen labda ungeenda kweny hiyo nchi ya mama ako ambae sio m tz and your above 18 ndo inabid ufwate process za hio nnchi ya mama ako sheria zina tofautiana kati ya nchi na nchi lakin ukizaliwa Tanzania wewe nim Tanzania you don't need kuapa wala nini Ndongaa
 
Mama si raia kama nilvosema kwaio et sheria inakutaka ukifkisha 18 yrs uape kukana uraia wa mama
 
Je, ni taratb zipi na pesa ngp koz mm 27yrs naambiw too late labda kama nawz klpia dola 3000
 
Je ni taratb zipi na pesa ngp koz mm 27yrs naambiw too late labda kama nawz klpia dola 3000
 
Back
Top Bottom