SaNikuulize swali umewah kuongia kwenye word ya wagonjwa wa tb??
Chumba cha dactar anaruhusiwa kuingia mgojwa wa TB na doctor huwa anakuwa katka mavaz ya kawaida, mbona hakuna dactr aliye wahi kulalamika kuwa wagonjwa wa TB wanatuambukiza TB????
Sent using Jamii Forums mobile app
Sa
sasa hapa unakubalina nami au
Hii ya begani ni chanjo ya TB kweli!!!!? Sio Ndui (small pox sijui)!!?Ndo ujue sio hewa peke yake inafanya wew uambukizwe TB, wew unadhan ile chanjo uliyopewa kwakati wa kuzaliwa ni chanjo ya nn?
Jiangalie began una chanjo ulipewa, niambie niya kazi gan?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uza shambaHabari wana jukwaa.
Ni imani yangu mu wazima wa afya.
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada
Mimi in kijana mwenye umri wa miaka 26, naishi Geita kijiji kinaitwa lwamgasa.
Nilikuwa nikifanya kazi kwenye migodi midogo ya dhahabu(ikumbukwe Mara nyingi tunafanya kazi kwenye mazingira hatarishi mfano vumbi,mwingiliano wa watu na urahisi wa kuambukizana magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya hewa kama T.B).
Hivyo nilijikuta nimeambukizwa T.B,awali nilianza kukohoa taratibu,mwili ukawa unakosa nguvu na joto Kali wakati was usiku.
Hali hiyo ilidumu kwa muda wa miezi miwili na haikuathiri sana utendaji kazi wangu kwani nilikuwa nikienda kwenye dispensary napimwa na kupewa tu dawa za kuzuia kikohozi na mafua
Hali ilibadilika usiku wa tarehe 12 mwezi wa 7 mwaka ambao tumeuaga Jana kwani nilikohoa mabonge ya damu,ikabidi niende hospitali ya mkoa ndipo wakabaini nina ugonjwa wa kifua kikuu.
Nilianzishiwa dozi ya vidonge vinne kwa siku kwa muda wa miezi miwili kabla ya kubadilishiwa dozi ya miezi minne ya mwisho
Nilizuiliwa kufanya kazi ngumu ,ikumbukwe kuwa maisha yangu yamejikita zaidi kwenye kazi ngumu kama kulima na uchimbaji wa madini.
Hivyo kiasi kidogo kilichokuwepo kama akiba nilimpa mke wangu aongezee kwenye biashara yake ya genge.
Kwa bahati mbaya sana mke wangu alikuwa mjamzito,pia nae nilimwambukiza hiyo T.B,ufanisi kwenye biashara ukapungua na mwisho akaacha.
Kukatisha urefu wa mada,nimejitokeza hapa kuhitaji msaada japo niweze kuhudumia familia yangu kwa huu mwezi mmoja wa matibabu uliosalia ili nisiitese familia yangu.
Nahitaji msaada wa laki moja ili ninunue chakula nikiwa nasubiri kumaliza dozi ili noendelee na kazi,akiba yangu imeniishia na mke ni mjamzito.
Kwa atakaye guswa 0755322031.
Cc @skyeclat Mshanajr Nifah GENTAMYCINE Jambazi @kassie
Sent using Jamii Forums mobile app
Mrejesho,
Nimepata msaada kutoka kwa msamalia humu humu,kanitumia sh elfu 12,bado nahitaji msaada wenu
TB ni Airborne disease Mkuu.Inaambukizwa kwa kukohoa,kupiga,kutema mate,Kucheka na kuongea.Ukivuta hewa ambayo ina Bacteria wa TB unapata TB.Unavaa mask unapoongea na mgonjwa mwenye TB.Watu ambao wana magojwa ya kupelekea kinga ya mwili kushuka ndio, rahis kupata TB
Ila kwa mtu mwenye afya yake na anachimba mgodin hyo kitu haipo.
Ukitaka uamin.
Wodi ya wagojwa wenye TB watu wanaingia kawaida na kutoka, hata dactar akiwa anaongea na mgojwa wa TB anakaa nae hapa na hapa
wala haitaji kuwa na mask
manengelo
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀😀,Hawezi kuwa MD.Leo nimejifunza kwa madaktari wa hapa kuwa
1.TB haiambukizwi kwa njia ya hewa. Ni hadi uguswe na makohozi)
2. Mazingira ya kazi za mgodini (uchimbaji kwenye hewa ndogo na vumbi) hayachangii kuenea kwa TB.
3. Mtu ambaye hajapungukiwa kinga mwili hawezi kabisa kuambikizwa, ni hadi awe na HIV au kwashiorkor (kwa kifupi awe mgonjwa).
4. TB haiambukizwi kwa kukaa na mgonjwa (hata kama hajaanza kutumia dawa).
5. Wodi za TB ndugu na wahudumu wa afya wanajiachia tu.
6. N.k
MD? Basi tuna safari ndefu.
Na mimi nikienda soma medicine ntajifunza zaidi kuhusu Pathophysiology, pia epidemiology hasa occupational epidemiology.
Habari wana jukwaa.
Ni imani yangu mu wazima wa afya.
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada
Mimi in kijana mwenye umri wa miaka 26, naishi Geita kijiji kinaitwa lwamgasa.
Nilikuwa nikifanya kazi kwenye migodi midogo ya dhahabu(ikumbukwe Mara nyingi tunafanya kazi kwenye mazingira hatarishi mfano vumbi,mwingiliano wa watu na urahisi wa kuambukizana magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya hewa kama T.B).
Hivyo nilijikuta nimeambukizwa T.B,awali nilianza kukohoa taratibu,mwili ukawa unakosa nguvu na joto Kali wakati was usiku.
Hali hiyo ilidumu kwa muda wa miezi miwili na haikuathiri sana utendaji kazi wangu kwani nilikuwa nikienda kwenye dispensary napimwa na kupewa tu dawa za kuzuia kikohozi na mafua
Hali ilibadilika usiku wa tarehe 12 mwezi wa 7 mwaka ambao tumeuaga Jana kwani nilikohoa mabonge ya damu,ikabidi niende hospitali ya mkoa ndipo wakabaini nina ugonjwa wa kifua kikuu.
Nilianzishiwa dozi ya vidonge vinne kwa siku kwa muda wa miezi miwili kabla ya kubadilishiwa dozi ya miezi minne ya mwisho
Nilizuiliwa kufanya kazi ngumu ,ikumbukwe kuwa maisha yangu yamejikita zaidi kwenye kazi ngumu kama kulima na uchimbaji wa madini.
Hivyo kiasi kidogo kilichokuwepo kama akiba nilimpa mke wangu aongezee kwenye biashara yake ya genge.
Kwa bahati mbaya sana mke wangu alikuwa mjamzito,pia nae nilimwambukiza hiyo T.B,ufanisi kwenye biashara ukapungua na mwisho akaacha.
Kukatisha urefu wa mada,nimejitokeza hapa kuhitaji msaada japo niweze kuhudumia familia yangu kwa huu mwezi mmoja wa matibabu uliosalia ili nisiitese familia yangu.
Nahitaji msaada wa laki moja ili ninunue chakula nikiwa nasubiri kumaliza dozi ili noendelee na kazi,akiba yangu imeniishia na mke ni mjamzito.
Kwa atakaye guswa 0755322031.
Cc @skyeclat Mshanajr Nifah GENTAMYCINE Jambazi @kassie
Sent using Jamii Forums mobile app
Mrejesho,
Nimepata msaada kutoka kwa msamalia humu humu,kanitumia sh elfu 12,bado nahitaji msaada wenu
Boss sijakuelewa, unaposema TB haiambukizi kwa kuishi karibu na mtu mwenye TB unamaanisha nini hasa??Ngoja ninyamaze, lakini tb haiambukizwi na vumbi, wala kukaa karbu na mtu mwenye TB hakupelekei wew kupata TB.
Sent using Jamii Forums mobile app
Boss sijakuelewa, unaposema TB haiambukizi kwa kuishi karibu na mtu mwenye TB unamaanisha nini hasa??
Sent using Jamii Forums mobile app
TB ni Airborne disease Mkuu.Inaambukizwa kwa kukohoa,kupiga,kutema mate,Kucheka na kuongea.Ukivuta hewa ambayo ina Bacteria wa TB unapata TB.Unavaa mask unapoongea na mgonjwa mwenye TB.
Hii ya begani ni chanjo ya TB kweli!!!!? Sio Ndui (small pox sijui)!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sibishi bali nauliza maana umekua tofauti na Mimi ninavyojua siku zote
Hapana ni Kusini mkuu!Geita ni Kaskazini?
Ngoja ninyamaze, lakini tb haiambukizwi na vumbi, wala kukaa karbu na mtu mwenye TB hakupelekei wew kupata TB.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe Dr anakuwa hajavaa mask kwa sababu anakuwa hajui kama yupo na mgonjwa wa TB!! Vipi kama akishajua, anaendelea kukaa hivyo hivyo kama ulivyosema huko awali. Mi naona unaanza kuzipinga kauli zako indirectlyMgonjwa anapokuja hospital huonana na doctor moja kwa moja kwenye chumba chake, na wakati huo doctor anakua hajui mgojwa aliye ingia anaumwa nn..
Je umewahi kuingia kwa daktari ukamkuta kavaa mask???
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kuheshimu fani za watu kijana.huwa nacheka walio soma sayansi wakijiona walichukua masomo magumu na wao ni vichwa kweli ila ukweli ni mabashite WANAO SOMA HISTORIA YA SAYANSI
mkuu narudia Tz wanafunzi hawafundishwi sayansi bali historia ya sayansi.