Naomba msaada jinsi ya kuipata simu yangu bado ipo hewani

Naomba msaada jinsi ya kuipata simu yangu bado ipo hewani

MBUNICHA

Member
Joined
Dec 19, 2012
Posts
15
Reaction score
1
Mwenye ujuzi jins ya kuipata simu yangu Huawei Y210 nahisi nimeidondosha mahali au imeokotwa na mtu alookota hajui chochote coz up 2 now simu iko hewan ila haipokelewi.

Hapa nisaidie hata kwa application yoyote inayoweza kunisaidia kuipata simu yangu. Haina Ant theft wala security yoyote zaid ya system.

Msaada wa haraka unahitajika.
 
andika maneno haya google


google device manager

then ingia halafu login na acount ya gmail ulioeka kwenye simu utaweza kuiangalia kwenye ramani.
 
Kanunue nyingine sasa haina application yoyote ya kujua ilipo unafikiri itakuja yenyewe.au ikipokelewa mtangazie jamaa donge nene.
 
Back
Top Bottom