Naomba Msaada: Je 'D' Inachukuliwa kama Credit?

Naomba Msaada: Je 'D' Inachukuliwa kama Credit?

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,679
Reaction score
5,165
Nilikuwa nataka nichukue kozi ya mass communication tatizo wamenambia natakiwa niwe na credict ya English sasa mim nina D, je nahesakabika kuwa nina credit au vip??

Msaada tafadhali
 
nilikuwa nataka nichukue kozi ya mass communication tatizo wamenambia natakiwa niwe na credict ya english sasa mim nina D je nahesikabika kuwa nna credit au vip??msaada tafadhali
Yah unahesabika kuwa na credit
 
hapo mimi ndipo nachanikwa wadau kuna wengine wananiambia ni credit,wengine pass
 
nilikuwa nataka nichukue kozi ya mass communication tatizo wamenambia natakiwa niwe na credict ya english sasa mim nina D je nahesikabika kuwa nna credit au vip??msaada tafadhali
D ni pass sio credit.
 
Credit ya level gani? Kama ni olevel hyo siyo credit na kama ni advance hiyo ni principle pass so bado huna credit ya english
 
Nakuendelea inamaana hata B na A ni Credit?
ndio si namaanisha o level ukisikia credit tatu sio lazima iwe c tu ata b au a wanahesabu hapo d ni inaesabiwa kama pass ndio maana unaweza ona mtu kamaliza olevel kapata labda 4 ya 26 ila kafaulu kwa kupata labda b a c kwenye masomo matatu labda mengine kapata f zilizopelekea yeye kufikisha 4 point 26 ila uyu tunasema ana credit tatu ambazo ni a b c alizopata anaweza soma private nazani umepata picha kidogo
 
Back
Top Bottom