kimdundulusi
Member
- Aug 11, 2017
- 20
- 43
Wakuu habari za mida hii,
Najua wengi mmechoka na mihangaiko ya hapa na pale katika kutafuta mkate wakila siku, huku Nchi ikiwa na vituko visivyoisha kila kukicha. Lakini mnashukuru siku zinakwenda.
Samahani kama ntakuwa nimeingilia habari zinazotrend nchini hivi sasa hasa hii ya kuachiwa kwa Dkt Luis. Na kinachoendelea huko Zimbabwe.
Naomba kuuliza hivi watajwa hapo juu wameshalipwa ule mtonyo kama ilivyoamriwa na Mahakama kuu (rufani) dhidi ya Kampuni ya Tgo.? Au ndo wameamua kuupokea kimya
[HASHTAG]#Unapo[/HASHTAG] Hamia Pahala unahitaji Pahala Pa Kukaa.
Najua wengi mmechoka na mihangaiko ya hapa na pale katika kutafuta mkate wakila siku, huku Nchi ikiwa na vituko visivyoisha kila kukicha. Lakini mnashukuru siku zinakwenda.
Samahani kama ntakuwa nimeingilia habari zinazotrend nchini hivi sasa hasa hii ya kuachiwa kwa Dkt Luis. Na kinachoendelea huko Zimbabwe.
Naomba kuuliza hivi watajwa hapo juu wameshalipwa ule mtonyo kama ilivyoamriwa na Mahakama kuu (rufani) dhidi ya Kampuni ya Tgo.? Au ndo wameamua kuupokea kimya
[HASHTAG]#Unapo[/HASHTAG] Hamia Pahala unahitaji Pahala Pa Kukaa.