Naomba mnisaidie tofauti ya maisha ya Rwanda na Tanzania

kwa hio iQ ndogo inakutoa?? Kuwa na akili usiwe na pesa maana akili itakupatia pesa mkuu
Wasomi waliopo hapa watatusaidia. Intelligence Question na Intelligence motion ni vitu viwili tofauti na samahan kama nimekosea spelling najifunza kummeza mzungu . Iko hv ile akili ya kujibia maswali kwa maana ya kukumbuka na ile akili inayojibadilisha ghafla na kukopi mazingira iliyomuhim zaid ni hii ya kukopi. Japo zote zinahtajika .fuatilia utakuja kugundua watu wenye hela nyingi au mafanikio makubwa hawakuwa wa kwanza darasan ila mtaan ni wa kwanza. So nilitaka tu nikujulushe kuwa na IS haimaanishi unaakili sana ila inamaanisha unanasa sana hasa kukumbuka cha kujibia mtihan. Sasa tukija kwenye maisha halisi kinachohitàjika zaid ni Intelligence emotion na sio Intelligence Question. Kwaheri
 
Kuna mdau mmoja humu anaishi Rwanda aliwahi kusema "kama unaishi Rwanda fanya yanayokuhusu tu"
Sio mara Kagame anaiba kura ,mara watutsi this watutsi that
 
upo sawa mkuu,me npo University of Rwanda,Kigali,karibu mkuu muhimu ni kua tu na passport ako always with you....
Mkuu Rwanda hasa Kigali ni sehemu ambayo nimepanga kuitembelea kwa muda mrefu sana,kama sio mwaka huu mwakani lazima nifike
 
Watanzania sisi kwa kusifia vya wengine na kuponda vya kwetu hatujambo. imekuwa ni culture yetu.
 
Nimekaa Rwanda miaka 3, mikoa mitatu Kigali,Ruhengeri na Gitarama nimefanya Nazi na wanyarwanda baada na kabla ya vita.ila kwa sasa nimegundua wanabadili aina ya maisha waliyokuwa wanaishi kabala ya vitaa hata hivyo wakereketwa hawashi,life ya Rwanda ni ngumu sana kama huna channel ni kama south Africa kwa kufanya shughuli halali .Kigali hakuna mambo sijui ya kuchoma taka taka kila mwezi kuna watu wanapita wanachukua hats kama nikidogo kiasi gani unawapa chao sasa usitoe Hela uone.vyakula ni vya shidah hasa Kigali chakula Hanna kabisa bora kuishi mikoani wanapolima vyumba vya kupanga hakuna kupangisha chumba kimoja ,ukipanga ni numba nzima ,umeme usipolipia Mara tatu wanakuja kung'oa kabisa miter yao,ile sijui freedom of speeches hakuna sifia tu utaishi maisha marefu Luna shidah ya maji hakuna mfano sifa pekee always wanyarwanda ni wasafi so mijini wala vijijini, k za kinyarwanda hazina noma kama una cash ya kutosha .mwisho kagame ni unttachable
 
Mchele nasikia kilo ni 4000 ya kitanzania,syo mchezo,maisha ni magumu sana,nlishawahi kupiga story na mnyaruanda mmoja ,akaniambia hali ya maisha kule ni ngumu kama huna kitu cha kufanya,mishahara ni midgo kwa watumishi wa umma,na life spending ya kigali ni kubwa tofauti na miji mingine ya EA,......
 
Wadau nataka kwenda rwanda kutafuta maisha maana maisha ya tanzania yamenishinda kila ninachofanya naona kimekuwa kigumu nataka kwenda kutafuta maisha.

Kwa wale mliowahi kufika hebu nisaidie utofauti wa maisha ya rwanda na tanzania na je rahisi mtanzania kutoka kimaisha ukiwa rwandaa
Kuna limited resources compared na TZ so unahitaji nguvu na akili nyingi kutusua compared na TZ.
 
Mchele nasikia kilo ni 4000 ya kitanzania,syo mchezo,maisha ni magumu sana,nlishawahi kupiga story na mnyaruanda mmoja ,akaniambia hali ya maisha kule ni ngumu kama huna kitu cha kufanya,mishahara ni midgo kwa watumishi wa umma,na life spending ya kigali ni kubwa tofauti na miji mingine ya EA,......
Ni kweli 100% nadhani kwa sababu ni watu wachache(viwanda/ matajiri) ndio wanalipa kodi
 
Ni kanchi kadogo, kana uchumi mdogo, wastani wa pato la mwananchi ni dogo kuliko hata sisi. Pia kamejaa watu kupita kiasi. Huwezi toka kimaisha. Baki tu bongo tukachome mkaa Kisarawe.
 
Rwanda ukifika tu, utajulikana wewe ni MTZ, kisha utafuatiliwa nini kimekupeleka kule, kama ni biashara je ni biashara kweli? huwezi kwenda kuwa mkulima kule, ni watu poa sana ila wana akili nyingi na wanaipenda sana nchi yao, usijeenda Rwanda ukawa na mambo ya kipuuzi ya kushabikia siasa na hayakuhusu.usienda kule ukapoteza passpot ama viza ikausha bila ku renew, totoz za Rwanda ni kama unavyojua
Kwa nini huwezi kuwa mkulima mkuu?
 
Hahaha unataka kuniambiaa kigali kuna maisha magumuuu sana
Rwanda ni pagumu balaa asikuambie mtu, Tanzania unaweza kufanya biashara na usisumbuliwe sana na TRA maisha yakaenda

Tanzania unaweza kufanya biashara ya ufungaji ikakutoa kimaisha

Tanzania unaweza kufanya kilimo na ukakodi shamba kwa hela kiduchu na ikakutoa kimaisha.

Rwanda ni pangumu asikudanganye mtu, ukanda huu wote kuanzia
Kenya
Uganda
Rwanda
Somali land
Burundi
Zambia
Congo*
Tanzania

Kati ya nchi zote Tanzania ndiyo nchi pekee unaweza kuishi na ukawin maisha
 
Tanzania tuna maisha mazuri sana kulinganisha na Rwanda. Kama umefika nchi za scandinavia basi hazina tofauti sana na Tanzania.

I love my donor country Tanzania.
 
Back
Top Bottom