Naomba mnisaidie maujanja

Naomba mnisaidie maujanja

elias godfrey

Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
35
Reaction score
6
hi every body mm ni kijana ambae najikubali kuwa ni bonge la hand some boy kuna binti nampenda sana anaitwa irene huyu binti nimekutana nae facebook kwa bahati nzuri aliweka namba yke facebook nikaamua kuichukua then kumpigia wow alipokea na kuniuliza mm nani nikamjibu elias nilipomjibu akaniambia.ok nimeshakujua tayari nikaendelea kuongea naye huyu binti ni mcheshi sana so nikaamua kumtongoza alichonijibu huyu binti ni kwamba"ww hata haujaniona alafu unataka niwe girl friend wako na kiukweli kabisa sikuwahi kumuona hata siku moja ila nimemuona kwenye fb bac tukaendelea kuongea kuhusu mm kumtaka kimapenzi yule binti akanijibu sitakujibu chochote mpaka tuonane nikamjibu poa haina nouma sasa mara siku nyingine aniambie hawezi kuwa na mm coz tayari amewaiwa ila mm bdo nampenda na nataka awe ma girl.friend ni fanyaje naombeni ushauri wenu jamani
 
unanimalizia bundle tu hujui kuwa tunalipia!
si nilisikia darasa la saba hakuna aliyefeli kwani hamjaanza kwenda shule........!!!
 
humu ndan kuna vituko! story ya fb yafata nn tena? kama we hand(mkono) some(chochote) si angekukubalia kama anafata huo u hendisamu
 
Kusema kweli boy mm nilikuwa kama wewe na sitasahau mwaka 2011 nilikutana na dem fb..of course najikubali ni presentable hivyo nikawa cna wasiwasi dem picha ilikuwa inalipa mbayaaaaa..Tukachart tukawa wapenzi tulioshibanaaaaa..Siku nilipokutana naye sikuamini kile ninachokiona!! dem mfupi kama katuman(mahindi yale mafupiiii) dem hasomeki sura nikisimama naye ananifikia kiunoni nilikomaaa!! toka siku hiyo niliapa fb kutongoza nisiyemjua mwiko!!
Chukua hiyo wee mrugaruga usiyejua kuwa unajitapeli!!
 
mademu wengi wa fb ni feki,.
,
,
,
,
,
,
,
,
,
,
,
,
,
,
,
,
,
,
,
.
,
Kuwa makini kijana usije ukapotea!!
 
hi every body mm ni kijana ambae najikubali kuwa ni bonge la hand some boy kuna binti nampenda sana anaitwa irene huyu binti nimekutana nae facebook kwa bahati nzuri aliweka namba yke facebook nikaamua kuichukua then kumpigia wow alipokea na kuniuliza mm nani nikamjibu elias nilipomjibu akaniambia.ok nimeshakujua tayari nikaendelea kuongea naye huyu binti ni mcheshi sana so nikaamua kumtongoza alichonijibu huyu binti ni kwamba"ww hata haujaniona alafu unataka niwe girl friend wako na kiukweli kabisa sikuwahi kumuona hata siku moja ila nimemuona kwenye fb bac tukaendelea kuongea kuhusu mm kumtaka kimapenzi yule binti akanijibu sitakujibu chochote mpaka tuonane nikamjibu poa haina nouma sasa mara siku nyingine aniambie hawezi kuwa na mm coz tayari amewaiwa ila mm bdo nampenda na nataka awe ma girl.friend ni fanyaje naombeni ushauri wenu jamani

Give yourself time to grow son. This is another elementary school love story.
 
tatizo la form II kumaliza mapema hili, by the way kaulize wavulana wenzio wakujibu.
 
Hvi mitihan ya darasa la nne ndo imemalizika jana eeh?
 
Back
Top Bottom