Naomba mnisaidie kimawazo

Naomba mnisaidie kimawazo

Sasa nipo serious kidogo , So siitaji keroo.

Nauliza tu hivi kwa hawa wanaume wanaokupenda , wanakujali halafu mwisho wa siku wanawivu mno sana , ukiwa sehemu hii nimekuona , wapi sehemu fulani upo nafulani ninani yako?? Sasa yeye hana kazi,kazi ni yakukufuatilia wewe tu??

Halafu simu ikiita anakaa karibu kujua huyo ni nani kwanini kakupigia kwa huo mda halafu anaongea maneno yanaumiza moyo kama vile umemuua yeye sasa ni roho tu inakuandama.

Huli , ukai kwa amani kisa mtu kama huyu yaani kila wakati anakuandama mpaka anakupangia jinsi yakuishi jamani .

Hivi utamuachaje mtu kama huyu aende kwa amani ??

Maana ni kero kweli unachoka akili , mwili,kiroho yaani unaamua kulewa nakulala usimsikie na unaweka head phones, ili akikuongezea maneno usimsikie jamani huyu mtu ni umiza kichwa analaumu kwa kila kitu hachoki kabisa .

Anaboa kabisa sana sana.... aisee kunaboa kabisa
Poleee.. Wivu kwenye mapenzi ni kama chumvi kwenye chakula.... Ni muhimu ila ukizidii au kupunguaa inakua sio poaa👍
 
Achana naye komaa na Mjerumani wako
Kimekuuma jamani na huyo mjerumani , hayupo karudi mwezi uliopita kwao sasa nasubiri akija tanzania ndio tuone hanaga shida kujua mengi kuniusu aisee . Ila huyu ndio shida sana halafu anajua kuwa nipo na huyu mjeru ila ananiganda sana kabisa
 
Ndugu achana na huyo mtu..

Nilikuwa na mtu kama huyu aisee nilikaribia kuchanganyikiwa halafu ni wajanja wanakutambulisha haraka haraka ili usimwache kirahisi

Nashukuru Mungu nilimuacha japo kwa mbinde mpk Leo hakubarigi tu nimemblock kila idara

Wengi humu watakuona wa ajabu et unaringa trust me wanaume wa hivyo ndio wanaongoza kwa kuwaua wapenzi wao na kujiua

Kimbia shogaa hakuna mume hapo unajitafutia kifo tu
 
Ndugu achana na huyo mtu..

Nilikuwa na mtu kama huyu aisee nilikaribia kuchanganyikiwa halafu ni wajanja wanakutambulisha haraka haraka ili usimwache kirahisi

Nashukuru Mungu nilimuacha japo kwa mbinde mpk Leo hakubarigi tu nimemblock kila idara

Wengi humu watakuona wa ajabu et unaringa trust me wanaume wa hivyo ndio wanaongoza kwa kuwaua wapenzi wao na kujiua

Kimbia shogaa hakuna mume hapo unajitafutia kifo tu
Inabidii niachane naye kabisa
 
Naomba jinsi yakumuacha maana ukimuacha hakuelewi eti kuwa umemuacha
We muache tu, ipo siku utaandika uzi mrefu wa kutafuta mwenza.

Ukitumia akili kidogo, ukajishusha na kumweleza usiyoyapenda anaweza kubadilika.

Tatizo mnatska wanaume waliokamilika au mabwege ambayo kila kitu ukitaka kufanya anakuruhusu na unarudi muda uutakao.

Kuolewa usipotumia akili ni sawa na gereza, ukitumia akili kidogo pia utambadili mmeo mtazamo wa mambo na mtaishi poa tu
 
Ndugu achana na huyo mtu..

Nilikuwa na mtu kama huyu aisee nilikaribia kuchanganyikiwa halafu ni wajanja wanakutambulisha haraka haraka ili usimwache kirahisi

Nashukuru Mungu nilimuacha japo kwa mbinde mpk Leo hakubarigi tu nimemblock kila idara

Wengi humu watakuona wa ajabu et unaringa trust me wanaume wa hivyo ndio wanaongoza kwa kuwaua wapenzi wao na kujiua

Kimbia shogaa hakuna mume hapo unajitafutia kifo tu
Danga kwenye ubora wako
 
Back
Top Bottom