Naomba mnisaidie kimawazo

Naomba mnisaidie kimawazo

Mwanaume anayestahili kua na wivu Ni Yule anayemhudumia msichana kwa kila kitu na mama mzazi wa binti.
Unatoa laki kwa wiki halafu unajitia unawivu
Neno umalaya limebadilishwa kwa kupunguzwa ukali wa maneno wadada wa mjini ndo mnaita “kuhudumiwa “ au sio
 
Sasa nipo serious kidogo , So siitaji keroo.

Nauliza tu hivi kwa hawa wanaume wanaokupenda , wanakujali halafu mwisho wa siku wanawivu mno sana , ukiwa sehemu hii nimekuona , wapi sehemu fulani upo nafulani ninani yako?? Sasa yeye hana kazi,kazi ni yakukufuatilia wewe tu??

Halafu simu ikiita anakaa karibu kujua huyo ni nani kwanini kakupigia kwa huo mda halafu anaongea maneno yanaumiza moyo kama vile umemuua yeye sasa ni roho tu inakuandama.

Huli , ukai kwa amani kisa mtu kama huyu yaani kila wakati anakuandama mpaka anakupangia jinsi yakuishi jamani .

Hivi utamuachaje mtu kama huyu aende kwa amani ??

Maana ni kero kweli unachoka akili , mwili,kiroho yaani unaamua kulewa nakulala usimsikie na unaweka head phones, ili akikuongezea maneno usimsikie jamani huyu mtu ni umiza kichwa analaumu kwa kila kitu hachoki kabisa .

Anaboa kabisa sana sana.... aisee kunaboa kabisa
Si umwache au unamvumilia sababu ana hela, maana wanawake wengi wenu mna kauli mbiu "heri kulia kwenye V8,kuliko kucheka kwenye baiskeli ".
 
Inabidii niachane naye kabisa
Wahivyo wanakuaga wahuniiiii

Kuna huyo alimchumbia jirani yangu hadi alikua anampigia simu jirani mwingine aongee nae kama yupo nyumbani kweli, ye kajua anapendwa kilicho mpata!
Bwana alikua anatongoza rafiki zake wooote wakimwambia mdada, jamaa anasema wao ndo wanamfata tena anatongoza face to face sio kwa simu

Huyo ni moja wapo wengine
 
Wahivyo wanakuaga wahuniiiii

Kuna huyo alimchumbia jirani yangu hadi alikua anampigia simu jirani mwingine aongee nae kama yupo nyumbani kweli, ye kajua anapendwa kilicho mpata!
Bwana alikua anatongoza rafiki zake wooote wakimwambia mdada, jamaa anasema wao ndo wanamfata tena anatongoza face to face sio kwa simu

Huyo ni moja wapo wengine
Siwezi afiki jambo lolote ila sijui hiyo department kweli
 
Si umwache au unamvumilia sababu ana hela, maana wanawake wengi wenu mna kauli mbiu "heri kulia kwenye V8,kuliko kucheka kwenye baiskeli ".
Ni kweli au uje unisaidie nimuache itakuwa busara
 
Njoo kwangu Sina wivu kifupi sikufatilii ila tu ujue kunipikia ubwabwa wenye matandu juu na ukoko usioungua😄😄😄
 
Ndugu achana na huyo mtu..

Nilikuwa na mtu kama huyu aisee nilikaribia kuchanganyikiwa halafu ni wajanja wanakutambulisha haraka haraka ili usimwache kirahisi

Nashukuru Mungu nilimuacha japo kwa mbinde mpk Leo hakubarigi tu nimemblock kila idara

Wengi humu watakuona wa ajabu et unaringa trust me wanaume wa hivyo ndio wanaongoza kwa kuwaua wapenzi wao na kujiua

Kimbia shogaa hakuna mume hapo unajitafutia kifo tu
Kabisa kabisa...Yaan hawanaga akili ya kujisimamia wanaume wa hivi
 
Back
Top Bottom