Naomba mnisaidie kimawazo

Naomba mnisaidie kimawazo

Sasa nipo serious kidogo , So siitaji keroo.

Nauliza tu hivi kwa hawa wanaume wanaokupenda , wanakujali halafu mwisho wa siku wanawivu mno sana , ukiwa sehemu hii nimekuona , wapi sehemu fulani upo nafulani ninani yako?? Sasa yeye hana kazi,kazi ni yakukufuatilia wewe tu??

Halafu simu ikiita anakaa karibu kujua huyo ni nani kwanini kakupigia kwa huo mda halafu anaongea maneno yanaumiza moyo kama vile umemuua yeye sasa ni roho tu inakuandama.

Huli , ukai kwa amani kisa mtu kama huyu yaani kila wakati anakuandama mpaka anakupangia jinsi yakuishi jamani .

Hivi utamuachaje mtu kama huyu aende kwa amani ??

Maana ni kero kweli unachoka akili , mwili,kiroho yaani unaamua kulewa nakulala usimsikie na unaweka head phones, ili akikuongezea maneno usimsikie jamani huyu mtu ni umiza kichwa analaumu kwa kila kitu hachoki kabisa .

Anaboa kabisa sana sana.... aisee kunaboa kabisa
Halafu huyo mwanaume anayepoteza muda wake kuwa na mcharuko kama wewe itakuwa hazimtoshi.
 
Sasa nipo serious kidogo , So siitaji keroo.

Nauliza tu hivi kwa hawa wanaume wanaokupenda , wanakujali halafu mwisho wa siku wanawivu mno sana , ukiwa sehemu hii nimekuona , wapi sehemu fulani upo nafulani ninani yako?? Sasa yeye hana kazi,kazi ni yakukufuatilia wewe tu??

Halafu simu ikiita anakaa karibu kujua huyo ni nani kwanini kakupigia kwa huo mda halafu anaongea maneno yanaumiza moyo kama vile umemuua yeye sasa ni roho tu inakuandama.

Huli , ukai kwa amani kisa mtu kama huyu yaani kila wakati anakuandama mpaka anakupangia jinsi yakuishi jamani .

Hivi utamuachaje mtu kama huyu aende kwa amani ??

Maana ni kero kweli unachoka akili , mwili,kiroho yaani unaamua kulewa nakulala usimsikie na unaweka head phones, ili akikuongezea maneno usimsikie jamani huyu mtu ni umiza kichwa analaumu kwa kila kitu hachoki kabisa .

Anaboa kabisa sana sana.... aisee kunaboa kabisa



Ila hela zake unapenda?
 
Sasa nipo serious kidogo , So siitaji keroo.

Nauliza tu hivi kwa hawa wanaume wanaokupenda , wanakujali halafu mwisho wa siku wanawivu mno sana , ukiwa sehemu hii nimekuona , wapi sehemu fulani upo nafulani ninani yako?? Sasa yeye hana kazi,kazi ni yakukufuatilia wewe tu??

Halafu simu ikiita anakaa karibu kujua huyo ni nani kwanini kakupigia kwa huo mda halafu anaongea maneno yanaumiza moyo kama vile umemuua yeye sasa ni roho tu inakuandama.

Huli , ukai kwa amani kisa mtu kama huyu yaani kila wakati anakuandama mpaka anakupangia jinsi yakuishi jamani .

Hivi utamuachaje mtu kama huyu aende kwa amani ??

Maana ni kero kweli unachoka akili , mwili,kiroho yaani unaamua kulewa nakulala usimsikie na unaweka head phones, ili akikuongezea maneno usimsikie jamani huyu mtu ni umiza kichwa analaumu kwa kila kitu hachoki kabisa .

Anaboa kabisa sana sana.... aisee kunaboa kabisa
Tafuta Mzungu Kama hutaki kuulizwa nyendo zako,sisi wa Africa lazima tujuwe wake na wapenzi wetu nyendo zao!!
 
Mimi sijaelewa point yake for real😂
Point ni hivi nitamuachaje mtu ambaye ni anakuandama huishi kwa amani huyu ni mpenzi wangu , sasa anawivu kupitiliza so hadi imekuwa keroo nataka nimuache ila siwezi couse niking'ang'anizi , so naomba idea ya kumuacha kwa amani ili niendeleee na maisha yangu
 
Mwanaume anayestahili kua na wivu Ni Yule anayemhudumia msichana kwa kila kitu na mama mzazi wa binti.
Unatoa laki kwa wiki halafu unajitia unawivu?
 
Back
Top Bottom