EDWIN CLEOPHACE
Member
- Jun 10, 2013
- 11
- 0
wakuu mliotutangulia naomba mnifahamishe napaswa kuandaa sh. ngapi ili kuanza form 5 kwa makadrio ya gharama zote make mda ni kidogo mno. nitashukuru
Uwe na kama laki 3 maana mwaka jana nimempeleka dogo pale Bwiru imenicost laki 2.5.
Uwe na kama laki 3 maana mwaka jana nimempeleka dogo pale Bwiru imenicost laki 2.5.