Naomba Mkopo wa kukopeshwa

Naomba Mkopo wa kukopeshwa

Habari, mambo vipi mko poa nyie naombeni mnisamehe kwa kuwasubueni. Nimeamua kuwandikia kwa sababu sasa nimekwama kifedha na nina uhitaji wa dharura. Naomba kama utaweza kunikopesha shilingi 20,000 ili niweze kutatua changamoto niliyonayo kwa sasa. Najua kila mtu ana majukumu yake, hivyo nitaelewa kabisa kama hautaweza.

Nakuahidi kwamba nitakapokuwa sawa kifedha nitakurudishia fedha zako zote bila kukuchelewesha. Nitathamini sana msaada wako na moyo wako wa kunisitiri katika kipindi hiki kigumu. Asante sana kwa muda wako na kwa kunisikiliza. Mungu akubariki kwa wema wako. 🙏🙏
Weka namba yako ya simu hadharani ili matajiri wakutumie pasipo kujulikana.
NB: marufuku kumfuata mtu PM
 
Habari, mambo vipi mko poa nyie naombeni mnisamehe kwa kuwasubueni. Nimeamua kuwandikia kwa sababu sasa nimekwama kifedha na nina uhitaji wa dharura. Naomba kama utaweza kunikopesha shilingi 20,000 ili niweze kutatua changamoto niliyonayo kwa sasa. Najua kila mtu ana majukumu yake, hivyo nitaelewa kabisa kama hautaweza.

Nakuahidi kwamba nitakapokuwa sawa kifedha nitakurudishia fedha zako zote bila kukuchelewesha. Nitathamini sana msaada wako na moyo wako wa kunisitiri katika kipindi hiki kigumu. Asante sana kwa muda wako na kwa kunisikiliza. Mungu akubariki kwa wema wako. 🙏🙏
Mkopo wa kwanza ambao hauna time frame.
 
Wakuu Jf bado nipo nasubiria huruma yenu🙏
 
Kaka mambo Huwa yana goma, kama unayo mpatie, nilishawahi kuugua na nika kosa namna, ACHA TU nilijifunza unapo pata pesa ni kheri uonekane mchoyo na bahili lakini umejilinda Kwa siku za usoni
Hii comment inakubali na kukataza 😹😹
JF hata kama hutaki kucheka utacheka tu..!!

Ampe lakini pia bora kuwa mbahili dah! 😹
 
Huo utakua ulimbukeni, Kwa Nini usimbadili huyo demu kuwa pisi zinazo kutoa udenda mtaani, kaka nilipata demu hana Tako hana rangi kapauka hana sura, nikaanza toboka, badili vipodozi kila siku demu akaanza pendeza nyesha sana ma splmnts Tako Hilo wazee wakaanza tena kumtamani ilihali walidai Nina demu mbaya akawa demu mkali mtaani, alienda kuolewa na Mzee Mmoja Kwa kuhongwa duka kubwa na mazagazaga kibao, hata Leo nikitaka namgonga ni heshima tu alafu Sina taimu nae ukikutana nae ukaambiwa huyu hakua na Tako hakua mweupe huwezi amini
😹😹😹 Alex una comment za vichekesho sana..!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom