Naomba Mkopo wa kukopeshwa

Naomba Mkopo wa kukopeshwa

Mkuu Nzona umepitia phonebook yako hata kama una majina 30 uliyosave ukaona kabisa hakuna wa kukukopesha 20K?

Em fanya hivyo tafadhali usiniangushe kiasi hiki!
Kaka mambo Huwa yana goma, kama unayo mpatie, nilishawahi kuugua na nika kosa namna, ACHA TU nilijifunza unapo pata pesa ni kheri uonekane mchoyo na bahili lakini umejilinda Kwa siku za usoni
 
Kaka pesa ya mkopo, sio ya kutumia ni ya kufanyia biashara, atajiingiza kwenye matatizo mkuu, Bora hapa anaweza pewa sio kukopesha, pesa ndogo sana hiyoo
Hakuna pesa ndogo aisee pesa ni pesa,unataka aipate hapa kutoka kwa nani unaamini kama hadi mtu ana access ya kuingia JF ktk circle yake anakosa mtu wa kumkopa hiyo 20K?

Kwani hao alioshauriwa awakope hawatoi kiasi kidogo kama hiko?
 
Alafu ndugu zanguni tujitahidi tuoe au tuwe na DEMU geto wa kupika pakua dunia ya Leo haieleweki wakuu, Sito sahau nilivo ugua ugenini alafu Niko man alone, asee nilijifunza sana tafuta hata demu mwenye sura ya kawaida mkuu vuta geto mambo mengine mbele ya safari, Kuna muda huitaji hela unahitaji wakukuliwaza tu, ukae sawa
 
Alafu ndugu zanguni tujitahidi tuoe au tuwe na DEMU geto wa kupika pakua dunia ya Leo haieleweki wakuu, Sito sahau nilivo ugua ugenini alafu Niko man alone, asee nilijifunza sana tafuta hata demu mwenye sura ya kawaida mkuu vuta geto mambo mengine mbele ya safari, Kuna muda huitaji hela unahitaji wakukuliwaza tu, ukae sawa
Sura ya kawaida yupoje
 
Hakuna pesa ndogo aisee pesa ni pesa,unataka aipate hapa kutoka kwa nani unaamini kama hadi mtu ana access ya kuingia JF ktk circle yake anakosa mtu wa kumkopa hiyo 20K?

Kwani hao alioshauriwa awakope hawatoi kiasi kidogo kama hiko?
Ndo mana nime kwambia mkuu nilisha wahi kuugua acces ya kuingia jf ilikuwepo lakini sikuwa na kityu kabisa miaka hiyooo
 
Kaka mambo Huwa yana goma, kama unayo mpatie, nilishawahi kuugua na nika kosa namna, ACHA TU nilijifunza unapo pata pesa ni kheri uonekane mchoyo na bahili lakini umejilinda Kwa siku za usoni
Sasa Bro humo kwenye bold unanishauri nini unanionya nini?

Huyu solution aende akakope wanakokopesha humu kwa kusema akopeshwe ni uwongo labda useme asaidiwe.
 
Sio mkali sana Wala sio sura ya dingi lakini hata akiwa na sura ya dingi kama shepu lipo vuta ndani hata kama hana shepu mlete nimuuzie vipodozi na supplement hatokuja huyo kikubwa usikae singo
Unawashauri wenzako ujinga, yani watu waoe wake bora liende tu , mwisho wa siku ukijipata unatafuta pisi za kiwango cha mafanikio yako nakumuumiza uliye oa🤔
 
Unawashauri wenzako ujinga, yani watu waoe wake bora liende tu , mwisho wa siku ukijipata unatafuta pisi za kiwango cha mafanikio yako nakumuuza uliye oa🤔
Huo utakua ulimbukeni, Kwa Nini usimbadili huyo demu kuwa pisi zinazo kutoa udenda mtaani, kaka nilipata demu hana Tako hana rangi kapauka hana sura, nikaanza toboka, badili vipodozi kila siku demu akaanza pendeza nyesha sana ma splmnts Tako Hilo wazee wakaanza tena kumtamani ilihali walidai Nina demu mbaya akawa demu mkali mtaani, alienda kuolewa na Mzee Mmoja Kwa kuhongwa duka kubwa na mazagazaga kibao, hata Leo nikitaka namgonga ni heshima tu alafu Sina taimu nae ukikutana nae ukaambiwa huyu hakua na Tako hakua mweupe huwezi amini
 
Mkuu Nzona umepitia phonebook yako hata kama una majina 30 uliyosave ukaona kabisa hakuna wa kukukopesha 20K?

Em fanya hivyo tafadhali usiniangushe kiasi hiki!
Inawezkn the worst, mara nyingi nikiwa na shda na-m-refer manager wangu directly.... Ila Hawa wa view status km mimi jau sana mzee ingawa ni wachache
 
Huo utakua ulimbukeni, Kwa Nini usimbadili huyo demu kuwa pisi zinazo kutoa udenda mtaani, kaka nilipata demu hana Tako hana rangi kapauka hana sura, nikaanza toboka, badili vipodozi kila siku demu akaanza pendeza nyesha sana ma splmnts Tako Hilo wazee wakaanza tena kumtamani ilihali walidai Nina demu mbaya akawa demu mkali mtaani, alienda kuolewa na Mzee Mmoja Kwa kuhongwa duka kubwa na mazagazaga kibao, hata Leo nikitaka namgonga ni heshima tu alafu Sina taimu nae ukikutana nae ukaambiwa huyu hakua na Tako hakua mweupe huwezi amini
tafuta maisha kijana, Wanawake wazuri wapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom