Naomba MKOPO WA 13M kwa Mtu Binafsi

Naomba MKOPO WA 13M kwa Mtu Binafsi

Comrade Liu Yang

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2023
Posts
206
Reaction score
326
Msaada ndugu zangu, naomba mtu binafsi mwenye uwezo wa kunikopesha 13m kaa riba atakayoitaka yeye naomba anisaidie.

TUtakopeshana kisheria,mahakama, na taratibu zote tutafata.

Nina Shida ya DHARULA naomba msaaada nina DHAMANA kadhaa za mali zisizo hamishika.

Naomba msaada Tafadhali.

Alie tayari nitamfata PM yeyote ataeniduhusu nije Pm Kwake kwa msaada zaidi.

ASANTENI,MBARIKIWE NYOTE.
 
Mikopo ya mtu kwa mtu huleta shida sana baadae kwenye kurejesha

Ainisha dhamana zako hapa hapa kabla ya kufuatana PM

mimi niko kwenye field hiyo, changamoto ninazoziona ni nzito

👇👇👇
Screenshot_20250802-144104.jpg
 
Taasisi za mikopo zimetapakaa mitaani kama Unahitaji kulipa kwa riba yoyote,Kwanini usiende huko?
Taasisi za Mikopo haziweki "riba yeyote" zinaweka Riba kulingana na kufata masharti ya BOT.

hamna taasisi inaweza kuzidisha Riba tofaut na masharti ya BOT
 
Back
Top Bottom