Ngozi nyeusi bana, naona jamaa hapo kaweka picha kamuua kenge alafu anaona ni ufahari.
Kule Nchi za wenzetu a.k.a Mabeberu kuna idara za Wanyama na kama kuna kiumbe yupo Nyumbani kwako unawapigia wanakuja kumchukua.
Wenzetu hawazingatii sana kwenye kuwauwa viumbe, unless kama unafanya hivyo kuokoa maisha yako, tofauti kabisa na huku kwetu, kule Wananchi wenyewe wanajitahidi sana na kuhakikisha Kiumbe anachukuliwa akiwa hai.
Niliangaliaga hii clip, jamaa anavyohangaika kumtoa Nyoka nyumbani akiwa hai wala hakufikiria kumuua....nikajiuliza ni Mbongo gani atafanya hivi?
AU IPO HII YENYE DAKIKA 1 KWA MWENYE CHANGAMOTO YA BANDO, HIYO HAPO JUU INA DK 12.