Aisha Adam
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 460
- 103
Kuna mdada mmoja mfanyakazi mwenzang kaolewa ana mme na mtoto mmoja, kinachoniuma ni kwamba huyu mdada anakipato kikubwa kumzidi mmewe sasa akikorofishana na mmewe anaanza kuwaambia wafanyakazi wao kuwa mmewe hana kitu chochote ndani hata nyumba hajaweka hata mfuko cement so asiwababaishe.
Nimshauri nn huyu mdada ili aachane na tabia hiì make weng hawajaipenda
Nimshauri nn huyu mdada ili aachane na tabia hiì make weng hawajaipenda