Elongolongo
Member
- Oct 29, 2023
- 23
- 25
Mimi ni kijana wa miaka 19, nipo Kigoma, nilimaliza kidato cha nne mwaka jana. Na nilipata div 4 ya point 33. Nilienda Veta nikasoma udereva na nina cheti pamoja na leseni daraja D, na tayari nimeshakuwa dereva mzuri tu, kwakuwa nilianza kuendesha gari kabla hata ya kwenda Veta kusomea. Lakini kwasasa nina mpango wa kwenda Veta kusomea kozi za ufundi magari.
Sasa naomba kuuliza ndani ya kozi za ufundi wa magari ni upande upi ambao unaweza kuwa na soko nzuri baada ya kumaliza mafunzo.. mf.. Umeme wa magari, kunyoosha bodi za magari n.k.
Kwa yeyote anayefahamu naomba kufahamishwa pia. Asanteni!!!
Sasa naomba kuuliza ndani ya kozi za ufundi wa magari ni upande upi ambao unaweza kuwa na soko nzuri baada ya kumaliza mafunzo.. mf.. Umeme wa magari, kunyoosha bodi za magari n.k.
Kwa yeyote anayefahamu naomba kufahamishwa pia. Asanteni!!!