Naomba maelezo mafupi kuhusu viagra

Usijaribu unatengeneza bomu litaloripuka miaka ya baadae, faida ni za muda mfupi

Faida na Hasara
Utadumu kufanya ngono kwa muda mrefu ila mwili wako utazoea hizo dawa matokeo yake bila hizo hutaweza kufanya kitu.


Ukizidisha zaidi ya kiwango kinachoshauriwa utakufa kwasababu presha itapanda matokeo yake unaaga dunia.
Viagra causes peripheral vasodilatation which lowers pressure!!! How presha inaongezeka mkuu, sijakupata vzur hapa coz what I know is that Viagra n mbaya kwa wale mwenye presha ya kushuka yaan hypotension cause it makes hypotension worse ndio MTU anakufa, au pharmacology niliielewa vibaya hapa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
izo ni sildenafil(first generation ya dawa za kusaidia watu wenye tatizo la nguvu za kiume-(erectile dysfunction/impotence)
zinapatikana kwa vidonge vyenye active ingredients ya 50/100mg.. unatumia kidonge kimoja kabla ya kunjunjana.. inakusaidia uperform vizuri for almost 5 to 6 hours na inaanza kufanya kazi 5-10 minutes baada ya kuitumia , ila kama mdau wa juu apo alivosema kama unashida ya blood pressure tumia kwa tahadhari, maana inaongeza mpk kasi ya mzunguko wa damu.
ila nakushauri, if unataka result nzuri bila side effect kubwa, tumia tadalafil(mplify, apcalics, saheal) izi ni third generation na active ingredient yake ni only 20mg, zimepunguziwa area zinakoenda kusababisha effects, zenyewe zinalenga kuongeza kiwango cha damu kinachoingia kwene uume kwa kuongeza dilation ya vessels zinazopeleka damu huko, zitakusaidia uwe active for 36-72, depending na brand, zinaanza kufanya kazi 30-60 min.. so unaeza itumia mda mrefu kabla ya tukio, hazileti effect kama hujawa sexual stimulated... so for all those hours utakuwa active pale tu unapotaka kuperform kama zilivo hisia za kawaida
Kumbuka; izi dawa zipo kwa ajili ya wenye matatizo, kama huna tatizo usipendelee kuzitumia, ila kama mtu amekudanga mpaka unaona kiasilia hutaenda nae sawa... hamna namna tumia tu ila malaya hakomolewi,
zaidi, piga matizi, kula msosi safi, epukana na kitu kinaitwa stress(kujihisi una tatizo).. tatizo la nguvu za kiume sio kubwa kama linavochukuliwa ila linatengenezwa kwa propaganda ni maada ndefu.
zaidi, izi dawa zinaweza tumika pia kuwasaidia wenye matatizo ya pressure
over.

Sent using Jamii Forums mobile app
Good! Ila hajui zinauzwa wapi akanunue hata za milioni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sitaki mitishamba


Sent using Jamii Forums mobile app
IMG-20181126-WA0020.jpeg
IMG-20181216-WA0030.jpeg
IMG-20181126-WA0003.jpeg
IMG-20181226-WA0020.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viagra causes peripheral vasodilatation which lowers pressure!!! How presha inaongezeka mkuu....sijakupata vzur hapa coz what I know is that Viagra n mbaya kwa wale mwenye presha ya kushuka yaan hypotension cause it makes hypotension worse ndio MTU anakufa...au pharmacology niliielewa vibaya hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu nimekupata
 
Binafsi huwa natumia erecto..ila natumia mala moja moja na nakuwa na sababu..na natumia gm 50 mana gm 100 unaamka kichwa kinakuuma..sitasahau siku nimekunywa 100 gm halafu demu kaja gafla kaanza kubreed.

Sitasahau kilichotokea na alikuja saa tano za usiku ili alale..sikuumwa ila nilipata tabu sana mzigo ulikuwa unasimama kila mala.. Hizi dawa sio nzuri kutumia kila mala watu wanakufa..mkuu kama hujawai anza na 50 gm huwa haizingui sana..ila tumia mala moja moja na uwe na sababu lakini.kwa miezi minne mala moja sio mbaya..byee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasaidia tu kusimamiaha mshedede usilale hasa kama ww kuingiza hadi uishikilie. Kwani ww una tatizo hilo?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Binafsi huwa natumia erecto..ila natumia mala moja moja na nakuwa na sababu..na natumia gm 50 mana gm 100 unaamka kichwa kinakuuma..sitasahau siku nimekunywa 100 gm halafu demu kaja gafla kaanza kubreed ..sitasahau kilichotokea na alikuja saa tano za usiku ili alale..sikuumwa ila nilipata tabu sana mzigo ulikuwa unasimama kila mala.. Hizi dawa sio nzuri kutumia kila mala watu wanakufa..mkuu kama hujawai anza na 50 gm huwa haizingui sana..ila tumia mala moja moja na uwe na sababu lakini.kwa miezi minne mala moja sio mbaya..byee

Sent using Jamii Forums mobile app
Uwe unatumia tadalafil kama mplify, saheal hazinaga ayo mambo hata appointment ikivunjika, utapata shida ya kawaida kama zilivo hisia za kawaida ukiwa umemiss kugegeda, ila pole mkuu, kama ni first lady ungegeda ivo ivo labda kama alikuwa ana maumivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani pressure kuna ya kupanda na kushuka? sasa kitaalamu hapo ni ipi?? au inategemea na aina ya pressure vile mtu anayo
Yes kuna ya kupanda hypertension na ya kushuka hypontesion hizo dawa zinashusha sana peressure kiasi unaweza jisikia kizungunguz maumivi ya kichwa hata kufariki endapo utazidisha dose tu. zikipandisha pressure dudu haiwezi simama watu huwa wanazani pressure ikipanda dudu ndio inakuwa na nguvu kumbe sio presha ikishuka ndio ateri zinarelax damu ina flow vizuri.
 
Back
Top Bottom