asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Nijuzeni wana JF mwenzen nilibakwa na mtu wa familia, pia nakaribia ndoa ila mwenza wangu sijamwambia ukwel najiskia vibaya ila sitak kuonekana muhuni maana haikua ridhaa yangu
pole sana amina ali , kwasababu inaonesha ni kitu kinachokusumbua m basi mweleze ukweli kwani ukweli utakuweka huru siku zote
Last edited by a moderator: