naomba kuuliza

naomba kuuliza

Nijuzeni wana JF mwenzen nilibakwa na mtu wa familia, pia nakaribia ndoa ila mwenza wangu sijamwambia ukwel najiskia vibaya ila sitak kuonekana muhuni maana haikua ridhaa yangu

pole sana amina ali , kwasababu inaonesha ni kitu kinachokusumbua m basi mweleze ukweli kwani ukweli utakuweka huru siku zote
 
Last edited by a moderator:
Kama hakikukataa kwa sababu hauna bikira njoo kwangu nikuoe hvyo hvyo..
 
Nipo zanzibar ila sihitaj tiba ya kurudisha maana itakua ni udanganyifu na ni jukumu kwa mungu Ok bas km kweli anakupenda hawezi kukuacha sbb ya kukuta hauna!
 
Kwa kweli imwambie mwanamme ulibakwa??

Sidhani kama itafutika akilini mwake, bora kukaa kimya tu

Na uliberali woote mie naihofia hii process ya kumuambia mwenza. Itakuwa very traumatising. Jamaa atabakia kupata picha na kutaka kuua tu! Natamani asimuambie. Anyamaze tu bila kubold ama kutangaza habari ya bikra. Kwani mkaka kasema yeye bikira?
 
Ndio.....ikisaidiwa na malimao.....
Mayoooooooooooooo...... We preta, how do I know kwamba hii niliyoikuta ni ya kwanza yaani orijino au ndo imewekwa chachandu yenye ndimu na limao nyingi... Basi tutaliwa wengi, maana kuna wale wanaoziuza. Thatha thijui nadho ni dha limao...
 
He he he kitu cha mtu kimeharibiwa hapa!!!!
sijui alikuwa masomoni, sijui alikuwa anasubiri ndoa.........

Atakuwa amemdanganya BF wake kuwa hajawahi kudushereriwa...na jamaa anahamu ya kufungua kitu sealed...so anatfuta mazingira ya kurekebisha size...Kazi kwelikweli.
 
Nijuzeni wana JF mwenzen nilibakwa na mtu wa familia, pia nakaribia ndoa ila mwenza wangu sijamwambia ukwel najiskia vibaya ila sitak kuonekana muhuni maana haikua ridhaa yangu
hukuweka wzi mwanzoni mwa hoja...ona sasa watu tumeingia mizaha kumbe mwenzetu ulipatwa...cha muhimu uelewe kuwa bikra huwa hairudi kamwe...then tafuta njia nyingine ya ksahau na kuendelea na maisha mengine na huyo umpendaye.
 
Suluhu ni kumwambia ukweli mwenzio!
sometimes..ukweli..waweza..kukucost..wee..kaa..kimya..sio..lazima..itoke..with..a..pool..of..blood..he..will..not..notice..unless..ur..sleeping..with..other..men
wakati..mwingine..hutoka..kimyakimya..
usiogope.
.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom