Naomba kuuliza kwa mtu anayefahamu hospital ya Aga khan iliyopo Tabata

Uliza ilipo baa ya great park baada ya kituo cha barakuda ila pale bima ya NHIF mpaka miez miwili iliyopita waikuwa hawapokei sijui sasa maana bado ni mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…