Naomba kuuliza, kuna Kiongozi yeyote wa Afrika anatumia mabavu kuongoza kwa kuamini Russia na China watamsaidia likimkuta? This is a shame!

Naomba kuuliza, kuna Kiongozi yeyote wa Afrika anatumia mabavu kuongoza kwa kuamini Russia na China watamsaidia likimkuta? This is a shame!

Ninachojua USA inaweza kumchomoa yeyote tofauti kama nilivyosema kwenye bandiko hapo tofauti ni muda itakaotumia. USA hawezi kwa sasa kumvamia China, Russia na India ni kwa sababu ya business cycle na sio kuwa anashindwa kumchomoa hata Xi maana mbwembwe zote ni kuwa wana akiba ya Nuclear ninachojua Aircraft Franklin ikagonga kwenye Target huyo Mchina hawezi kuinua uso wake na hizo Nuclear zake 800. All in all, tukubali kuwa USA ni Super Power mfano leo China aguse pale Taiwan kama USA hatatia mguu.
USA ana nuclear war heads 5000.

Mkataba wa kulimt idadi ya nyuklia baina ya marekani na Russia umeisha tarehe 26 February, 2026.

Dunia si salama tena.
 
Africa hakutabiriki mkuu,

Marekani na maguvu yake huwa akija huku anaaibika.

Somalia alipeleka special forces na bado alikula kichapo heavy.

Kule Chad, wanajeshi wa marekani nako vile vile walikumbana na kichapo.

Marekani kapeleka special forces Uganda kumtafuta Joseph Kony mpaka leo hakuna kitu.

Africa sio kama huko kwa waarabu, hivyo utafikiri mara mbili kuleta jeshi kwingine.
Waulize M23 willy ngoma yupo wapi
 
Habari ya Sunday wana GT!
Nimetafakari sana kuhusu Ongozi (sio sanifu) zetu za kiafrika za kutumia nguvu nyingi kupitiliza kwa kukandamiza uhuru wa Raia na mali zao. Hii imekuwa ni kawaida kwa viongozi wetu wa kiafrika na wale wanaotoka Dunia ya tatu na ya kwanza nje ya Afrika wenye viashiria vya Ujamaa kama Cuba, Russia, Iran, China, Puerto Rico, Venezuela (past), Colombia, North Korea n.k.
Mada yako umeiua huku huku mwanzo kabisa.
Hujui kutofautisha yanayoelezwa ndani ya kichwa cha mada na mifumo ya kiuongozi ya kidunia.

Nimesoma hiyo aya inayofuatia, na kujiridhisha kuwa huna upeo wowote juu ya maswala haya..
Sikuendelea huko kwingine.
 
USA ana nuclear war heads 5000.

Mkataba wa kulimt idadi ya nyuklia baina ya marekani na Russia umeisha tarehe 26 February, 2026.

Dunia si salama tena.
Kwani imewahi kuwa salama lini?
 
Ingekuwa kuamua tangu kipindi cha Bush wangeamua. Bado America wanasumbuliwa na nightmare ya vita vya Korea na North Vietnam na wakati huo China haikuwa advanced kwenye silaha za kivita
Kwa hali ya sasa, US yuko mbali saaana kuliko China. Ukiachana na silaha na wataalamu ambavyo US anavyo, US ana advantage ya kusimama katika mapigano mengi sana duniani ya kisasa kuliko China aliyejaza silaha zake ghalani.

Kwani Mkuu Madulo na Iran si walikuwa wanatua AD za China na Russia, na bado US akatawala hizo anga bila tabu yoyote ile kubwa?

Leo Israel ametangaza kumiliki anga 100% la Iran, ana ndege zaidi ya 200 zinaruka hewani hadi sasa.

AD za Iran zimechapika vibaya saana.
 
Endelea kujidanganya.

USA anaweza kupigana na nchi zote duniani kwa wakati mmoja na anashinda mchana kweupe.
Hadi sasa anapigana Ukraine, anakiwasha Iran na bado anasema yupo tayari kusimama na Taiwan dhidi ya China.
 
Huu ndo wakati pekee wa China kuivamia Taiwan, asipoivamia wiki hii hataweza ivamia tena
Kwa hili balaa la jana na leo bado unaona kuna mtu anatamani kusimama na US? Be serious.
 
Huu ndo wakati pekee wa China kuivamia Taiwan, asipoivamia wiki hii hataweza ivamia tena
Nenda X kaangalie ndege za US zilivyokuwa zikikwepa AD za Iran halafu uone kama China yupo tayari kupambana na mziki ule.
 
Iran kwenye case ya Russia vs Ukraine hakukuwa na sababu yeye kwenda maana Russia yule opponent wake anamuweza lakini sio kwa Iran vs US and Israel(hapa alitakiwa awe backed up directly na hao wapambe wake.Sema kubali kataa China ni ndumila kuwili)
China sio ndumilakuwili ila najua kabisa US ni balaa lingine lile.
 
Ushawahi sikia North Kore
Kuna mikataba inayoitwa mutual defense pact.

Ambapo mataifa 2 au zaidi yanakubaliana kupeana msaada wa kijeshi endapo mojawapo litavamiwa.

China imeingia mkataba huo officially na taifa moja tu duniani, nalo ni North Korea.

Siku taifa lolote likithubutu kuigusa North Korea hapo sasa China ina kila sababu kurejea mkataba wa 1961 wa mutual assistance.

Ndio maana hautasikia hata siku moja Marekani ikapanga kuivamia North Korea pamoja na taifa hilo kutengeneza silaha za nyuklia na kufanya majaribio ya ICBM tena wakati fulani karibu na mipaka ya washirika wa Marekani yaani South Korea na Japan.
Ushawahi sikia North Korea akitengeneza au kusuport magaidi yanayosumbua mataifa mengine. North Korea kuwa na nyukilia sio tishio kwa mataifa mengine tofauti na Iran anaye tamani magaidi yatawale mataifa yao kwa kisingizio cha dini. Kwa Irani kuwa na nyukilia ni sawa na kumwachia chizi SMG ambayo ikofull risasi sokoni.
 
Trump anachukia watu weusi kwa hiyo sahauni kabisa
epstein file zimeonyesha jinsi alikuwa akiwatukana malaya weusi mpaka epstein akawatoa kwenye orodha
 
Back
Top Bottom