Tetesi: Naomba kuuliza kuhusu mvua wadau

amina ngalo

JF-Expert Member
Jun 13, 2013
309
170
naomba kuuliza kuhusu story ya mvua wadau nasikia wajenzi wa barabara wana utaalamu waku fukuza mvua kwa kuipiga mabomu hii imekaaje kitaalamu kama mitambo wanayoitumia ni vilipuzi je ? wanashirikiana na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama au ??
 
Back
Top Bottom