amina ngalo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 309
- 170
naomba kuuliza kuhusu story ya mvua wadau nasikia wajenzi wa barabara wana utaalamu waku fukuza mvua kwa kuipiga mabomu hii imekaaje kitaalamu kama mitambo wanayoitumia ni vilipuzi je ? wanashirikiana na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama au ??