Naomba kuuliza. kama mtu amefanya kaz ya kuajiriwa kwa mkataba wa kudumu akijitoa baada ya kufanya kaz kwa miaka mitano anaweza kupata mafao yake toka LAPF? kama akisitisha mkataba na mshahara wa 850,000 gross atapata sh ngapi?
Mimi nitakueleza kuhusu experience ya pspf.. Sina hakika kama lapf nao wanafanya hivyo
kwamba kama ulikuwa na mwajiri fkan ukaacha kazi maybe.. Ukaenda kufanya kazi sehemu nyingine
unachotakiwa kufanya ni kutoa taarifa ktk mfuko kuwa umebadilisha mwajiri.... Hivyo pspf wataendelea kukusanya michango yako kwa mwajiri mpya na watajumlisha na michango ya mwanzo kama kawaida
Kuna fao la kujitoa unahitaji barua ya kuacha/kuachishwa kazi toka kwa mwajiri na copy ya LAPF Id card. Form nyngne utajaza ktk ofc zao. By the way sikushauri uondoke LAPF hasa kama umepata ajira mpya coz ndo best pension fund kwa sasa.
Kuna fao la kujitoa unahitaji barua ya kuacha/kuachishwa kazi toka kwa mwajiri na copy ya LAPF Id card. Form nyngne utajaza ktk ofc zao. By the way sikushauri uondoke LAPF hasa kama umepata ajira mpya coz ndo best pension fund kwa sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.