5.2Millions Tanzania Shilings Per year.
5.2Millions Tanzania Shilings Per year.
Huwa najiuliza maswali kadha pindi ninapoona hizo ada za mamilioni ikiweo:
je uwekezaji katika elimu wa gharama kubwa utalipwa na mishahara gani?;
kwa mtu aliyesoma kwa gharama zote hizo na akalipwa chini ya laki tano ataacha kuiibia taasisi au kampuni?;
serikali imesema itaweka kikoma cha ada kwa shule binafsi, je shule za aina hiyo zitatii mamlaka?;
je gharama na ubora wa elimu unalinga na vyuo vya shahada hapa Tanzania?;
je mkuu wa shule hatakuwa tayari kufanya liwezekanalo (ikiwemo kutoa rushwa) ili wanafunzi wengi wapate daraja la kwanza?;
fedha chafu zinaharibu siasa na uchumi wa nchi, je hizi ada haziaribu elimu ya Tanzania.
Kwa kifupi maswali ni mengi, mengi sana!
Duuh.. Imezidi ya higher learning colleges..!
Hata wazo la hiyo shule sina..nafikiri serikali yetu ndiyo inapofanya makosa ..unaiachia shule ipange ada yenyewe,,kazi kweli kweli..watoto wa mafisadi wote wako pale..
Huwa najiuliza maswali kadha pindi ninapoona hizo ada za mamilioni ikiweo:
je uwekezaji katika elimu wa gharama kubwa utalipwa na mishahara gani?;
kwa mtu aliyesoma kwa gharama zote hizo na akalipwa chini ya laki tano ataacha kuiibia taasisi au kampuni?;
serikali imesema itaweka kikoma cha ada kwa shule binafsi, je shule za aina hiyo zitatii mamlaka?;
je gharama na ubora wa elimu unalinga na vyuo vya shahada hapa Tanzania?;
je mkuu wa shule hatakuwa tayari kufanya liwezekanalo (ikiwemo kutoa rushwa) ili wanafunzi wengi wapate daraja la kwanza?;
fedha chafu zinaharibu siasa na uchumi wa nchi, je hizi ada haziaribu elimu ya Tanzania.
Kwa kifupi maswali ni mengi, mengi sana!
Soko huria, na hivi wanafaulisha sana badi kila mzazi anataka kupeleka mwanae!
Sioni tofauti sana na Marian japo sifahamu ada yao!
Halaf bado kina Mwanaasha wamazungusha
Huwa najiuliza maswali kadha pindi ninapoona hizo ada za mamilioni ikiweo:
je uwekezaji katika elimu wa gharama kubwa utalipwa na mishahara gani?;
kwa mtu aliyesoma kwa gharama zote hizo na akalipwa chini ya laki tano ataacha kuiibia taasisi au kampuni?;
serikali imesema itaweka kikoma cha ada kwa shule binafsi, je shule za aina hiyo zitatii mamlaka?;
je gharama na ubora wa elimu unalinga na vyuo vya shahada hapa Tanzania?;
je mkuu wa shule hatakuwa tayari kufanya liwezekanalo (ikiwemo kutoa rushwa) ili wanafunzi wengi wapate daraja la kwanza?;
fedha chafu zinaharibu siasa na uchumi wa nchi, je hizi ada haziaribu elimu ya Tanzania.
Kwa kifupi maswali ni mengi, mengi sana!