Lis
JF-Expert Member
- Jun 2, 2012
- 471
- 345
Habari, leo nimeamka Sina amani, nimeota ndoto ya kwamba, nimeenda kwa mpenzi wangu nikamkuta rafiki yake ambae simfahamu, lakini akanambia ninaemtafuta ametoka hivyo nimsubirie.
Nikamsubiri kwa muda mrefu bila mafanikio, ila chakushangaza huyo rafiki yake akawa anamtaja katika maongezi kwa jina la kiislam wakati namjua Kama ni mkristo.
Ndoto hi imeniwazisha sana nikawaza yawezekana huyo mpenzi wangu kanidanganya jina au nini?
Pia kiuhalisia Kuna siku nilishaenda kwake nikamkuta rafiki yake aliyesomanae akamuita kwa jina pia tofauti na ninalomtambua nilipomuuliza baadae akanambia Ni jina alilokuwa anatumia shule.
Yaani jimeamka nimekosa imani na mahusiano yangu namuona jamaa Kama msanii flani kutokana nandoto nloota huwenda mungu ananijulisha kitu.jamaa Niko nae kwa mahusiano kwa. Miezi mitano Sasa, tafadhal yeyote anayewezaa kutafsiri ndoto anisaidie tafadhali.
Nikamsubiri kwa muda mrefu bila mafanikio, ila chakushangaza huyo rafiki yake akawa anamtaja katika maongezi kwa jina la kiislam wakati namjua Kama ni mkristo.
Ndoto hi imeniwazisha sana nikawaza yawezekana huyo mpenzi wangu kanidanganya jina au nini?
Pia kiuhalisia Kuna siku nilishaenda kwake nikamkuta rafiki yake aliyesomanae akamuita kwa jina pia tofauti na ninalomtambua nilipomuuliza baadae akanambia Ni jina alilokuwa anatumia shule.
Yaani jimeamka nimekosa imani na mahusiano yangu namuona jamaa Kama msanii flani kutokana nandoto nloota huwenda mungu ananijulisha kitu.jamaa Niko nae kwa mahusiano kwa. Miezi mitano Sasa, tafadhal yeyote anayewezaa kutafsiri ndoto anisaidie tafadhali.