Ibada inaendeleaLabda Umedanganywa.
Kila ndoto ina ishara zake na maana zake waulize wanajimuHivi kuna siku ulishawahi kuota umeokota pesa ukiwa usingizini?
Je uilipoamka zilikuwapo?
Hizo ni ndoto tu Mkuu,, ila usimwamini mpnz wako ktk mahusiano kwa 90%.
Mapenzi ni kamari...
Muache, maana kila jambo lina nafasi yakeMnawaza sana mapenzi ndio maana
Kidogo nakuelewa hapa
Binadamu ana miili miwili, mwili wa kiroho na mwili wa damu na nyama. Kupitia hili binadamu anaishi katika ulimwengu wa aina mbili, ulimwengu wa kiroho na ulimwengu wa kimwili.Kabla ya kushusha thread tafadhali nishushie yangu
Lijalo na linalokuja ni kitu kilekile umechanganya nyakatiWanasema kwamba ukiota ndoto Ni kwamba unajulishwa Jambo lijalo, lililopo na linalokuja, hivyo ndoto Ni halisi.sijui Kuna ukweli hapa
Thanxs nimekuelewaBinadamu ana miili miwili, mwili wa kiroho na mwili wa damu na nyama. Kupitia hili binadamu anaishi katika ulimwengu wa aina mbili, ulimwengu wa kiroho na ulimwengu wa kimwili.
Ulimwengu wa kimwili ni huu tunaoishi na kulumbana hapa jamiiforums na kadhalika.
Ulimwengu wa kiroho ni ule tunaoishi kupitia ndoto.
Kwahiyo hali ya kuota ndoto jua kuwa upo katika ulimwengu wa kiroho, sasa ndoto inaweza kuwa inatokea, ilitokea au itatokea.
Ndoto iliyotokea ni ile ambayo unawaza kitu sana au ulipita muda mrefu bila kulala.
Ndoto inayotokea ni ile ndoto ya tukio linalotokea muda huo huo.
Ndoto itakayotokea hii huonyesha ukubwa na nguvu ya mwili wako wa kiroho kwenye maono.
N.B Ndoto huashiria upo rohoni ila kukosa misimamo na maamuzi katika ndoto ni dalili mbaya za maisha yako.
Binadamu ana miili miwili, mwili wa kiroho na mwili wa damu na nyama. Kupitia hili binadamu anaishi katika ulimwengu wa aina mbili, ulimwengu wa kiroho na ulimwengu wa kimwili.
Ulimwengu wa kimwili ni huu tunaoishi na kulumbana hapa jamiiforums na kadhalika.
Ulimwengu wa kiroho ni ule tunaoishi kupitia ndoto.
Kwahiyo hali ya kuota ndoto jua kuwa upo katika ulimwengu wa kiroho, sasa ndoto inaweza kuwa inatokea, ilitokea au itatokea.
Ndoto iliyotokea ni ile ambayo unawaza kitu sana au ulipita muda mrefu bila kulala.
Ndoto inayotokea ni ile ndoto ya tukio linalotokea muda huo huo.
Ndoto itakayotokea hii huonyesha ukubwa na nguvu ya mwili wako wa kiroho kwenye maono.
N.B Ndoto huashiria upo rohoni ila kukosa misimamo na maamuzi katika ndoto ni dalili mbaya za maisha yako.
[/QUO
Means kwa maelezo haya Ni wazi jamaa ananifanganya mambo mengi
Means kwa maelezo haya Ni wazi jamaa ananidanganya mengiiBinadamu ana miili miwili, mwili wa kiroho na mwili wa damu na nyama. Kupitia hili binadamu anaishi katika ulimwengu wa aina mbili, ulimwengu wa kiroho na ulimwengu wa kimwili.
Ulimwengu wa kimwili ni huu tunaoishi na kulumbana hapa jamiiforums na kadhalika.
Ulimwengu wa kiroho ni ule tunaoishi kupitia ndoto.
Kwahiyo hali ya kuota ndoto jua kuwa upo katika ulimwengu wa kiroho, sasa ndoto inaweza kuwa inatokea, ilitokea au itatokea.
Ndoto iliyotokea ni ile ambayo unawaza kitu sana au ulipita muda mrefu bila kulala.
Ndoto inayotokea ni ile ndoto ya tukio linalotokea muda huo huo.
Ndoto itakayotokea hii huonyesha ukubwa na nguvu ya mwili wako wa kiroho kwenye maono.
N.B Ndoto huashiria upo rohoni ila kukosa misimamo na maamuzi katika ndoto ni dalili mbaya za maisha yako.
ThanksNi ishara ya udanganyifu hapo uaminifiu ni athilimia 20-40)Basi hata sasa utambue,huyo ni msanii.
Hauko peke yako,yupo mwenzako pia anamtambua kwa jina jingine.
Upo kwny mchezo unachezeshwa,mpk siku utakapo gundua ndipo itakuwa stering anatoka msituni.
Huo ndio uelewa wako kuhusu ndoto
Natamani nishushe thread hapa kuhusu ndoto
Wengi ni wazinguaji tu...tafsiri ya ndoto ajuaye ni muumba wa mbingu na ardhi ..Kila ndoto ina ishara zake na maana zake waulize wanajimu
Hata wewe huoni kama unajidanganya?Wengi ni wazinguaji tu...tafsiri ya ndoto ajuaye ni muumba wa mbingu na ardhi ..
Wengine wote ni sawa na mganga panzi tu.
Watakudanganya kweupee,,
Kwa maana sisi tunajuwa kuliko Mungu?Hata wewe huoni kama unajidanganya?
Ivi hujui kwamba ufalme wa Mungu upo ndani yako?
Iyo kujua kuliko Mungu wewe ndio umesema!Kwa maana sisi tunajuwa kuliko Mungu?
Huoni kama wewe ndy unajidanganya?