Naomba kwa heshima na taadhima kurogwa, kama wewe ni mchawi au una ndugu yako mchawi mwambie naomba aniroge.
Mara kwa mara nimekua nikiwaambia watu humu na nje ya humu kua uchawi haupo na kam kuna mchawi naomba aniroge bado sijarogwa.
Kwa wale mnaoamini/kujua/kua na uhakika uchawi upo nawaombeni kwa heshima na taadhima mniroge jinsi mtakavyoona inawapendeza.
Wachawi, this is a soft ball i tossed to you, make sure you score the best goal, what hell of a chance to you? Mbuzi amejileta kwa muuza supu, kazi kwenu.
FAHAMU KUHUSU UKIMWI WA KICHAWI.
Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizopo kusini mwa jangwa la Sahara ambazo zina idadi kubwa sana ya watu walio namaambukizi ya V.V.U. Kwa mujibu wa tafiti
mbalimbali za kisayansi, katika kila watu kumi wenye umri wa kuanzia miaka 15 hadi 45wanao tembea barabarani, angalau watatu kati yao wanaishi na maambukizi ya
V.VU na angalau sita kati yao wanajihusisha na tabia hatarishi kwa maambukizi ya V.V.U. Hata hivyo, sio kila mtu anaye onekana na dalili zote za ugonjwa wa ukimwi, ni
kweli ameambukizwa ugonjwa huo. Kuna maelfu ya watu ambao wana ukimwi ambao wameupata kwa kulogwa. Katika makala zangu zinazo kuja, nitaanza kulizungumzia
hili na nitakuja na shuhuda kutoka kwa wahanga wa tatizo hili. Wapo watu wengi ambao walitupiwa ukimwi wa kichawi wakajisalimisha kwa Mungu wakaombewa na
hatimaye kupona kabisa ugonjwa huo na sasa wapo makanisani wanamsifu na kumtukuza Mungu. Unacho takiwa kufahamu hapa ni kwamba siku zote wachawi
wanapo taka kufanya kitu kibaya kwa mtu waliye mkusudia huwa wanatafuta na sababu ya kifo cha chake, nia ikiwa nikuwafanya watu waamini kuwa ndugu yao amekufa kwa tatizo fulani, labda ugonjwa fulani, ajali au hata kujiua. Hii ni hekima ya
kishenzi waliyo irithi kutoka kwa shetani. Hekima hii ya kichawi inatumika duniani tangu miaka na miaka. Ukisoma katika kitabu cha MWANZO 37 na kuendelea hadi
sura ya 40 utakutana na kisa cha Yusuf mtoto wa YAKOBO. YAKOBO alimpenda sana YUSUFU kutokana na jinsi alivyo kuwa smart kuliko ndugu zake, ndugu zake walichukizwa na jambo hilo, wakapanga kumuua, siku moja wakiwa nyikani
wanachunga kondoo wa baba yao, wakapanga kumuua YUSUFU kutokana na wivu walio kuwa nao. Hata hivyo mmoja kati ya ndugu zao alishari kuliko kumuua ndugu
yao ni bora wamuuze utumwani , kweli wakamuuza, swali walilo jiuliza hawa ndugu waovu ni watakwenda kumwambia nini baba yao hadi aamini kuwa mtoto wake
kipenzi amefariki dunia. Hekima ya kishetani ikawaingia, waka chukua vazi la YUSUFU wakalirarua na kulichana chana, kisha wakamchinja mwanakondoo, halafu damu yake
wakaipakaza damu, waliporudi nyumbani walimbwambia baba yao kuwa YUSUFU ameuwawa kwa na SIMBA na kwamba wamejaribu kupambana na simba bila mafanikio ila wamefanikiwa kuleta masalia ya nguo za YUSUFU. YAKOBO ambaye ndie
baba wa YUSUFU alipo tazama lile vazi, ni kweli lilikuwa vazi la mwanaye YUSUF, hata harufu yake ilikuwa ni harufu ya YUSUFU, alipo tazama na ile damu , kweli akaamini
kuwa mtoto wake YUSUFU amefariki dunia, lakini ukweli ulikuwa ni kinyume chake. Vivyo hivyo kwa wachawi wa nchi wanao ishi nasi katika nyakati hizi, wao pia hutumia hekima hii, pindi wanapo amua kufanya jambo baya kwa mtu kama vile kumuua,
kumpiga ukichaa n.k, basi lazima watatafuta na aina ya tukio au jambo litakalo husishwa na kifo ama tatizo la mtu huyo.
Yapo mapepo ya ukimwi, mtu anapimwa hospitali vipimo vyote vinaonyesha kuwa mtu huyu tayari ameathirika, na huanza clinic ya waathirika, mtu huyu akikutana na mtu akayakemea haya mapepo, hutoka na afya ya mtu kurudi katika hali yake.
Akirudi hospitali kupima ukimwi hauonekani tena. Wachawi na waganga wa kishenzi wamesambaza mapepo ya aina hii kwa watu wengi kweli kweli.