Naomba kujuzwa vifaa vya ufundi Simu na Computer

nelvine

JF-Expert Member
Nov 8, 2015
1,109
1,855
Wakuu Habarini za usiku Huu.

Baada ya kutafakari kwa kina juu ya muustabali wa maisha yangu nimeona ni heri niwe fundi wa vimeo uko mtaani.

Japo sina uzoefu au ujuzi wa hivi vifaa hila naamini nitaweza kuendana na kasi ya uchumi wa kati na uchumi wa viwanda.

Nahitaji kujua vifaa muhimu sana kwenye ufundi simu na kompyuta, hivyo nawakaribisha wadau kwa maoni na ushauri wenu.
 
Soko lake ni pana sana hasa kwenye simu.kuna kozi za haya mambo zinatolewa Veta. kumbuka ni muhimu sanakuwaona TCRA kabla kuanza kazi.

Kuna mengi ila ngoja waje wazoefu wa haya mambo watoe maalumati zaidi.
 
Soko lake ni pana sana hasa kwenye simu.kuna kozi za haya mambo zinatolewa Veta.
kumbuka ni muhimu sanakuwaona TCRA kabla kuanza kazi.
Kuna mengi ila ngoja waje wazoefu wa haya mambo watoe maalumati zaidi.
Shukrani mkuu, je hii kozi inatolewa ktk vyuo gani mkuu?
 
Nenda Veta Kipawa hapa DSM wana course ya wiki 6 kuanzia tarehe 14 mwezi huu,ni bure hutalipa chochote zaidi ya nauli yako kwenda na kurudi kila siku kwa hizo wiki 6.
 
Nenda Veta Kipawa hapa DSM wana course ya wiki 6 kuanzia tarehe 14 mwezi huu,ni bure hutalipa chochote zaidi ya nauli yako kwenda na kurudi kila siku kwa hizo wiki 6.
Dah tatizo lipo hapa, nipo mkoani mkuu yaani hii ndio changamoto kwangu
 
Wakuu Habarini za usiku Huu.

Baada ya kutafakari kwa kina juu ya muustabali wa maisha yangu nimeona ni heri niwe fundi wa vimeo uko mtaani.

Japo sina uzoefu au ujuzi wa hivi vifaa hila naamini nitaweza kuendana na kasi ya uchumi wa kati na uchumi wa viwanda.

Nahitaji kujua vifaa muhimu sana kwenye ufundi simu na kompyuta, hivyo nawakaribisha wadau kwa maoni na ushauri wenu.
Heri ujifunze kwanza usije ukaua computer ama simu ya watu ukajiingiza kwenye matatizo mengine. Vuta picha umeua simu ya watu aina ya iPhone X huko si utakimbia ofisi
 
kaka usichukulie poa hyo kozi mimi ni Engineer wa Eletronics and Telecommunication ufundi sio mchezo ninafnya pia ufundi ila bora uue vifaa
Acha kumtisha ufundi simu sio mgumu na huyu hana haja ya kwenda VETA, Kariakoo kuna ghorofa lipo karibu na benki ya Akiba, floor ya chini kabisa aende pale kuna vijana watampiga msasa ndani ya wiki ameshajua kila kitu
 
Wakuu Habarini za usiku Huu.

Baada ya kutafakari kwa kina juu ya muustabali wa maisha yangu nimeona ni heri niwe fundi wa vimeo uko mtaani.

Japo sina uzoefu au ujuzi wa hivi vifaa hila naamini nitaweza kuendana na kasi ya uchumi wa kati na uchumi wa viwanda.

Nahitaji kujua vifaa muhimu sana kwenye ufundi simu na kompyuta, hivyo nawakaribisha wadau kwa maoni na ushauri wenu.
Ukifanikiwa naomba na mimi unishike mkono.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sawa wewe ndio unamdanganya wiki labda kufungua simu mkuuu mimi ni fundi simu na vifaaa vya Eletronics Minimum ni miezi 3 sabb huwezi tengeneza kama hujui components
Kwani kazi zenyewe c zinajulikana chief? Kubadili system charge, kubadili kioo, kuflash, kurekebisha speaker n.k .. simu nyingi ubovu wake upo hapo sasa mi sidhani kama itamchukua mtu zaidi ya wiki kujifunza hivi vitu
 
Tafuta blower repair phone , vifaavya kufungulia simu na desktop au laptop ambayo utakuwa na program kadhaa za kuflash simu.

Kwa kuanzia tu.
 
ukweli ni ukweli tuuu aende Veta apige walau Mwaka Mmoja ajue full components then akija kwenye Simu akipata experience anakuwa hatari sana tena sana
Chief huyu inabidi ajifunze ule ufundi njaa yani anajua tu zile basics ili apate hela huku vitu vingine akiwa anaendelea kujifunza kidogokidogo. Mchukue hata wewe umpige msasa mbona kazi ni zilezile hamna jipya?
 
Back
Top Bottom