Naomba kujuzwa sehemu ambayo nitaweza repair bodi za Landrover kwa Dar es salaam

lugendosisty

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
219
102
Habari. Jaman mwenye kujua gereji au fundi Mtaalam anae repair bodi za landrover kwa Dar es salaam anisaidie Namba yake.

CC. MshanaJr
 
Kazi ya kurepair body ili ufurahi na iwe ya kuvutia waone Capital Zone 4×4. Huko kwingine utajutia pesa yako gari itapigwa rangi kama geti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…