Naomba kujuzwa mshahara wa Electrical engineers?

Naomba kujuzwa mshahara wa Electrical engineers?

Kwa mishahara hii Bora kujiajir tu hailip Mana kwa majukum haya alafu upokee hela hii dah huto Jenga
jibu zuri kabisa TEMESA technician wanaanza na 640k na engineer 860k, Tanesco Technician 1m+ na engineer 1.5+m, Tanroad wako juu kidogo, TPDC na TCRA ndio usiseme kabisa WAKO JUU MNO kimslahi , NEC electrical techincian 1.2M, engineer 1.6m Huko uwanja wa taifa ndo majanga kabisa njaa kama yote kwa engineer na technician wa umeme



Mshahara unategemeana na taasisi uliyopo japo kuna taasisi zinalipa kidogo au juu ya hizo nilizotaja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mishahara hii Bora kujiajir tu hailip Mana kwa majukum haya alafu upokee hela hii dah huto Jenga

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu mtu anaefanya kazi TBS, TANROAD,TPA, TCRA, NEC, TPDC japo analipwa mshahara mkubwa lakini ana posho na safari nyingi sana ndani ya miezi 4 anakupigia nyumba ambayo huwezi kuamini hapo kwenye list niliyotaja wenye njaa ni engineer na Technician wa TEMESA na hao wa uwanja wa taifa

Hao jamaa kwenye hizo taasisi mfano TPDC anaweza maliza miezi 6 hajui mlango wa ofisi yake ukoje, yeye ni safari tu huko kwenye masite na zote analipwa per diem
 
mkuu mtu anaefanya kazi TBS, TANROAD,TPA, TCRA, NEC, TPDC japo analipwa mshahara mkubwa lakini ana posho na safari nyingi sana ndani ya miezi 4 anakupigia nyumba ambayo huwezi kuamini hapo kwenye list niliyotaja wenye njaa ni engineer na Technician wa TEMESA na hao wa uwanja wa taifa

Hao jamaa kwenye hizo taasisi mfano TPDC anaweza maliza miezi 6 hajui mlango wa ofisi yake ukoje, yeye ni safari tu huko kwenye masite na zote analipwa per diem
Daaaaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
By the way kama wewe motisha yako kubwa ni pesa...yani unamahaba na pesa basi fanya biashara.
 
mkuu Engineer na Technician wa TPDC wanaweza wakawa wanalipwa kiasi gani kwa mwezi?
mkuu mtu anaefanya kazi TBS, TANROAD,TPA, TCRA, NEC, TPDC japo analipwa mshahara mkubwa lakini ana posho na safari nyingi sana ndani ya miezi 4 anakupigia nyumba ambayo huwezi kuamini hapo kwenye list niliyotaja wenye njaa ni engineer na Technician wa TEMESA na hao wa uwanja wa taifa

Hao jamaa kwenye hizo taasisi mfano TPDC anaweza maliza miezi 6 hajui mlango wa ofisi yake ukoje, yeye ni safari tu huko kwenye masite na zote analipwa per diem

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nisome comments vizuri, ili nijue ntakua napokea kias gan cha fwedha, uwiiiiiiiiiiii
 
Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
 
Ulizia malipo ya kazi, Mshahara wa ajira mitaa ishagasahau kitambooo....
 
Back
Top Bottom