anold johny
Member
- Aug 7, 2017
- 13
- 24
Habari ndungu,
Mimi nimfugaji wa nguruwe ni nimekuwa nikipata shida kwenye kunyanganya chakula kizuri cha ziada kwa ajiri ya nguruwe wangu na sitaki kuwalisha mabaki ya chakula.
Kwa anayejua ratio nzuri ambayo imempatia matokeo mazuri anijuze!
Asante
Mimi nimfugaji wa nguruwe ni nimekuwa nikipata shida kwenye kunyanganya chakula kizuri cha ziada kwa ajiri ya nguruwe wangu na sitaki kuwalisha mabaki ya chakula.
Kwa anayejua ratio nzuri ambayo imempatia matokeo mazuri anijuze!
Asante