Mbegu😁😁😁Hiyo picha ya tatuina mahusiano gani na mada?
Mbegu😁😁😁
Hizo tulikuwa tunachoma kwenye moto mdogoHapana ndugu
Mbegu😁😁😁
unabandua hilo ganda lake kisha unakangaa kama karanga(huweki mafuta) tjen unazisaga zinakuwa kama karanga za kusaga vile, unapikia kwenye mboga, uji(inafanya kazi kama nazi vile)Shukran ndugu je za kuchoma amaaa kukaanga