mbona alifariki siku nyingi sanadotto mnzava alifariki au?
Nitakuja unipokee sawa eeKwanza kabla ya yote nakukaribisha sana kwetu. Same ni eneo ambalo kuna wakati kunakuwa na ukame wa hali juu. Sisi wenyeji wa Same (wapare) ni wakarimu, hatuna majungu, upande wa dini wengi wengi ni sabato. Karibu sana sana wenyeji tupo tutakupokea karibu mpendwa wetu wilayani Same
Habari za Leo wanajukwaa, kama heading inavyosema, natamani kupata highlights za maisha katika mji wa Same mkoani Kilimanjaro. Nimepata uhamisho kwenda Same, so naomba kujuzwa hali ya maisha hapo Same, fursa zilizopo na information yoyote kuhusu Same unayoona ni muhimu. Ahsanteni sana
MPAKA HAPA WATU WA SUTI NYEUSI WAMESHAKUPATA... WATAENDA PALE ELEPHANT HOTEL NAKUCHEKI MTU ALIYEKAA MIEZI MINNE NA NUSU 2015...Umenikumbusha mbali sana.Nimelala hapo miezi minne na nusu,nilikuwa hapo kikazo mwaka 2015.
Hapo kushoto ya kuingia reception kuna miti mingiii na mahali pa michezo ya watoto na kupumzikia.
Niliipenda ile mandhari sbb ya hali ya hewa ya Same,ukiwa Elephant Motel hata mchana unakaa nje chini ya miti.Kweli miti ni hazina,tupande miti kuukabili ukame.
Mmhh!Kwanza kabla ya yote nakukaribisha sana kwetu. Same ni eneo ambalo kuna wakati kunakuwa na ukame wa hali juu. Sisi wenyeji wa Same (wapare) ni wakarimu, hatuna majungu, upande wa dini wengi wengi ni sabato. Karibu sana sana wenyeji tupo tutakupokea karibu mpendwa wetu wilayani Same
Na wewe ni mfupi eee?Mkuu umenikumbusha nyumbani wakati mpango wa kwenda huko ni desemba, mi niwaishinde nusu jangwa pale ila napapenda kwetu acha mzaha.
Pia ni wabahili sana na kwa Yale mambo yetu wapare hawapo nyumaKwanza kabla ya yote nakukaribisha sana kwetu. Same ni eneo ambalo kuna wakati kunakuwa na ukame wa hali juu. Sisi wenyeji wa Same (wapare) ni wakarimu, hatuna majungu, upande wa dini wengi wengi ni sabato. Karibu sana sana wenyeji tupo tutakupokea karibu mpendwa wetu wilayani Same
Utakuwa mtanga wewKama ni mtu wa kuelewa ameelewa kwa kweli![]()
hata sisi kule kwetu ukienda kichwa kichwa ukaanza kuvamia vya watu utatolewa busha

Karibu barabara ya 17 pale ndio nimekulia mieUtakuwa mtanga wew![]()
Wanaita majani ya chai au!, barabara hiyo nimekaa wiki kadhaaKaribu barabara ya 17 pale ndio nimekulia mie
upo? mbona umeguna? hahahahahhMmhh!
Ni wazuri kweliKama ni mpenda vidosho weupe na wafupi hapo Same umefika