Ishinde unafahamu ile familia ya marehemu mzee Onesmo Mziray ambaye ana mwanae Padri mziray, Adella na wengineo?Mkuu umenikumbusha nyumbani wakati mpango wa kwenda huko ni desemba, mi niwaishinde nusu jangwa pale ila napapenda kwetu acha mzaha.
Ninawafahamu ila sio kiundani kwani Mimi nilikulia Arusha. Hivyo nilikua nakuja kipindi cha likizo tu ila ndio nyumbani.Ishinde unafahamu ile familia ya marehemu mzee Onesmo Mziray ambaye ana mwanae Padri mziray, Adella na wengineo?
Kabisa mkuu, elephant nilipafurahia hata nikajikuta natunza kumbukumbu ya picha aiseeeeeeAisee nimelala hapa usiku mmoja wakati napeleka msiba wa mwanaJF Dotto Mnzava huko Vudee milimani. Mazingira yako yako poa.
....kuuumbe ndo mana basi kuna ukame;View attachment 513085
Nimeikumbuka elephant hotel aiseeee......
View attachment 513086
View attachment 513087
Duhhh.......
Sikuzile nili furahia maisha walau kwa siku saba, nikiwa vacation pale same....
Same kuna watoto wazuri kama roho yangu aiseeeee....
Ule mradi niliacha umefika pale Mgagau-Mnadani,hivi unategemewa kumalizika lini?Shida ya huo mji ni maji,tabu sana ya maji hapo...Yanapatikana ya chumvi ambayo yanaharibu sana nguo.
Nilikaa Same miezi minne kikazi.Nilifikia sehemu moja inaitwa Elephant Motel.Ipo pembeni ya mji.Chakula hasa matunda na mengineyo,yanapatikana kwenye gulio la Kwasakwasa,gulio lipo kila J'pili,watu wanashuka na vyakula toka milimani,hapo maji ndio tatizo.
Jumamosi maduka mengi yanafungwa sbb wenyeji wengi ni Wasabato.Ila watoto wa Kipare ukimuonja tu,lazima akupandie milimani akutulize.Bar kubwa ni PADEKO na Kimweri karibu na kituo cha Mafuta cha Panone.
Wilaya ina ukame sana,jua kali sana lakini usiku kuna baridi ya upepo(kipupwe),na vumbi kubwa sana ndio maana wadada wengi wanavaa open shoes na soksi.Nyumba za kupanga si gharama sana.
Wewe mkuu unaenda kuwa mtumishi wa Serikali au shirika binafsi?
Ule mradi niliacha umefika pale Mgagau-Mnadani,hivi unategemewa kumalizika lini?Shida ya huo mji ni maji,tabu sana ya maji hapo...Yanapatikana ya chumvi ambayo yanaharibu sana nguo.
Nilikaa Same miezi minne kikazi.Nilifikia sehemu moja inaitwa Elephant Motel.Ipo pembeni ya mji.Chakula hasa matunda na mengineyo,yanapatikana kwenye gulio la Kwasakwasa,gulio lipo kila J'pili,watu wanashuka na vyakula toka milimani,hapo maji ndio tatizo.
Jumamosi maduka mengi yanafungwa sbb wenyeji wengi ni Wasabato.Ila watoto wa Kipare ukimuonja tu,lazima akupandie milimani akutulize.Bar kubwa ni PADEKO na Kimweri karibu na kituo cha Mafuta cha Panone.
Wilaya ina ukame sana,jua kali sana lakini usiku kuna baridi ya upepo(kipupwe),na vumbi kubwa sana ndio maana wadada wengi wanavaa open shoes na soksi.Nyumba za kupanga si gharama sana.
Wewe mkuu unaenda kuwa mtumishi wa Serikali au shirika binafsi?
Njoo inboxAsante sana kwa maelezo...ni shirika binafsi
You are rightDuuu same sio pakuishi
Maji wanafuata km zaidi ya kumi
Same ni ukame kuliko hata Dodoma
Chakula kikubwa ni makande
Kwanza kabla ya yote nakukaribisha sana kwetu. Same ni eneo ambalo kuna wakati kunakuwa na ukame wa hali juu. Sisi wenyeji wa Same (wapare) ni wakarimu, hatuna majungu, upande wa dini wengi wengi ni sabato. Karibu sana sana wenyeji tupo tutakupokea karibu mpendwa wetu wilayani Same
kumbe wewe n mtani wangu? chedi avaeKwanza kabla ya yote nakukaribisha sana kwetu. Same ni eneo ambalo kuna wakati kunakuwa na ukame wa hali juu. Sisi wenyeji wa Same (wapare) ni wakarimu, hatuna majungu, upande wa dini wengi wengi ni sabato. Karibu sana sana wenyeji tupo tutakupokea karibu mpendwa wetu wilayani Same
dotto mnzava alifariki au?Aisee nimelala hapa usiku mmoja wakati napeleka msiba wa mwanaJF Dotto Mnzava huko Vudee milimani. Mazingira yako yako poa.