Hivi bank ya Azania na hawa Azania wheat floour (kampuni ya unga) na kanisa la Azania front ni kampuni moja au ni majina tuu.?.!!
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahaDah.....umevurugwa kweli kweli.........
Hahahaha pole mkuuNipe pole bhana
hawa jambo nasikia hata ile salamu ya JAMBO waliasisi waoNi kama unavoona JAMBO.pale Shinyanga kuna Muarabu ana kampuni ya Jamno food mule kuna maji, Soda,pipi sijuwi Energy na vingine.Lakini pia kuna Jambo plastics ipo hapa dar nadhani na malawi ila ni tofauti kabisa make ile ni ya Wahindi wala hawahusiani na jambo food.Pia kuna jambo jambo kibao.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
na ni nnini hiyo maana ya mbuta kwa lugha yetu maridhawaMbuta.
Mi naona vyote hivyo ni maliya BwanaHivi benki ya Azania na hawa Azania Wheat Flour (kampuni ya unga) na Kanisa la Azania front ni kampuni moja au ni majina tu?