Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,720
- 155,326
Mbuta, chengu, manule, mkombozi.Mbuta.
Mbuta, chengu, manule, mkombozi.Mbuta.
Kwa miaka ya nyuma hiyo ilikuwa ni MOTO balaa huwezi kuaminiKumbe kuna shule tena?
Hebu pitia vizuri (Azania) kuna makampuni mengi Duniani yenye jina hili wengine hata hawajui kuna nchi inaitwa TanzaniaAzania(Tanzania)
Kwa hiyo wote ni tofauti kabisa hata hawajuaniNi kama unavoona JAMBO.pale Shinyanga kuna Muarabu ana kampuni ya Jamno food mule kuna maji, Soda,pipi sijuwi Energy na vingine.Lakini pia kuna Jambo plastics ipo hapa dar nadhani na malawi ila ni tofauti kabisa make ile ni ya Wahindi wala hawahusiani na jambo food.Pia kuna jambo jambo kibao.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
kwa lugh ganiAzania(Tanzania)
Ipo bado ila kwa sasa haisikiki, Zamani ndiyo iliyokuwa St. Francis / FEZA / Kisimiri ya wakati huo. Ipo Karibu na Hospitali ya MuhimbiliKwa hiyo kwa sasa haipi tena au
Kama ilivyokuwa Bia ya Kibo Gold na Sabuni ya Foma Gold wote dugu moja.Hivi benki ya Azania na hawa Azania Wheat Flour (kampuni ya unga) na Kanisa la Azania front ni kampuni moja au ni majina tu?