Kelela
Senior Member
- Nov 7, 2020
- 186
- 269
Naomba kujua namna ya kuondoa mwangwi wakati wa kurekodi kwenye chumba.
Nifanyaje?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Nifanyaje?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Echo proof?sound proof
yap.Echo proof??
unatakiwa kuweka sound proof material chumba chote cha studio,kama una hela,unaweza tumia tray za mayai
Angalia mic yako pia, mic nyingi za kisasa zina option ya kuondoa bila kufanya setupNaomba kujua namna ya kuondoa mwangwi wakati wa kurekodi kwenye chumba.
Nifanyaje?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Hizi kwa hapa Dar gharama zake zipoje na zinapatikana wapi boss?View attachment 1649269
Hizi ni sound proofing foam, hivyo hata tray za mayai unaweza kuweka kwa mtindo huu
Kwa Dar siwezi kujua. Jaribu kumuuliza Chief-Mkwawa anaweza kukusaidia.Hizi kwa hapa Dar gharama zake zipoje na zinapatikana wapi boss?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Ahsante sana.Kwa Dar siwezi kujua. Jaribu kumuuliza Chief-Mkwawa anaweza kukusaidia.