Naomba kujuzwa jinsi ya kuhama chuo

Naomba kujuzwa jinsi ya kuhama chuo

Major shatta

New Member
Joined
May 30, 2020
Posts
2
Reaction score
1
Habari wanajamvi,

Ninataka kuhama chuo nikimaliza certificate (nipo certificate Diploma nataka niende chuo kingine) course ya accountancy chuo cha government.

Je, hii inawezekana na kama inawezekana taratibu zikoje?

Natanguliza shukrani zangu🙏
 
Tafuta chuo Kwanza cha serikali nenda chuoni hukohuko unskotaka uliza Kama Kuna nafasi ukipata anza process chuoni uliko!
 
Back
Top Bottom