real hustler
New Member
- Mar 12, 2021
- 4
- 2
Habari za majukumu,
Niko hapa nikiwa na kuchanganywa na vitu vifuatazo. Ambavyo ningeomba msaada
1. Kuna tofauti gani Kati ya chanjo ya homa ya Ini na yellow fiver
2. Sina maambukizi pia sijawahi chanjwa nimepata mwaliko wa safari za kimataifa, nauliza ni hospitali zipi naweza pata huduma hiyo na Kati ya hizo ni ipi muhimu/ inayohitajika kwa msafiri wa kimataifa
3. Ni lazima uwe na kadi ya chanjo hiyo airport
4. Gharama za chanjo
5. Kama unafahamu hospital inayotoa huduma hiyo ni masaa gani wanatoa huduma hiyo. Au ni siku gani hutoa huduma hiyo
Binafsi napatikana Morogoro, hiyo ni Safar yangu ya kwanza kupanda ndege
Karibuni na asanteni kwa msaada wa kimawazo
Niko hapa nikiwa na kuchanganywa na vitu vifuatazo. Ambavyo ningeomba msaada
1. Kuna tofauti gani Kati ya chanjo ya homa ya Ini na yellow fiver
2. Sina maambukizi pia sijawahi chanjwa nimepata mwaliko wa safari za kimataifa, nauliza ni hospitali zipi naweza pata huduma hiyo na Kati ya hizo ni ipi muhimu/ inayohitajika kwa msafiri wa kimataifa
3. Ni lazima uwe na kadi ya chanjo hiyo airport
4. Gharama za chanjo
5. Kama unafahamu hospital inayotoa huduma hiyo ni masaa gani wanatoa huduma hiyo. Au ni siku gani hutoa huduma hiyo
Binafsi napatikana Morogoro, hiyo ni Safar yangu ya kwanza kupanda ndege
Karibuni na asanteni kwa msaada wa kimawazo