Uko Mkoa gani?1. Ndugu zangu JF nina shida ya jino limetoboka sasa sijajua gharama ya kujaza ni shilingi ngapi maana sina bima. Please, anayefahamu ni bei gani naomba anijuze.
2. Njia bora ni ipi, kung'oa ama kuziba?
Naomba kuwasilisha.
Una mafua?Sasa kutoa afu Kuna siku kama Saba mbele kuna sherehe ntajula vP mjuu???
bafua yabembanaUna mafua?
Pole sana. Uamuzi wa kutoa au kuziba utafanywa na dr. Na gharama nayo inategemea na hospital. Jambo la muhimu ni wewe kwenda na kuulizia hospital hasa hizi za serikali.1. Ndugu zangu JF nina shida ya jino limetoboka sasa sijajua gharama ya kuziba ni shilingi ngapi maana sina bima. Please, anayefahamu ni bei gani naomba anijuze.
2. Njia bora ni ipi, kung'oa ama kuziba?
Naomba kuwasilisha.
Pole sana. Uamuzi wa kutoa au kuziba utafanywa na dr. Na gharama nayo inategemea na hospital. Jambo la muhimu ni wewe kwenda na kuulizia hospital hasa hizi za serikali.
Sijui. Kuna thread hapa inaonyesha gharama. Angalia kiambatanisho cha post ya kwanzaNasikia ukiwa na bima bei huwa pungufu kwani kukata bima bei Gani???
Angalia usije ukavimba uso.1. Ndugu zangu JF nina shida ya jino limetoboka sasa sijajua gharama ya kuziba ni shilingi ngapi maana sina bima. Please, anayefahamu ni bei gani naomba anijuze.
2. Njia bora ni ipi, kung'oa ama kuziba?
Naomba kuwasilisha.
Sipatii picha huo mdomo unavyonuka.Afadhari wewe jino moja mimi meno 6 yana matundu kufikia tarehe ya leo
Kuna kidawa cha kienyeji huwa natumia baada kama ya miezi 2 ndio maana sijaenda kuyangoaSipatii picha huo mdomo unavyonuka.
Afadhari wewe jino moja mimi meno 6 yana matundu kufikia tarehe ya leo
Kuna kidawa cha kienyeji huwa natumia baada kama ya miezi 2 ndio maana sijaenda kuyangoa
Njia bora ni KUZIBA!!! Jino ni kama mfupa, ukiondoa unaharibu structure ya mdomo.1. Ndugu zangu JF nina shida ya jino limetoboka sasa sijajua gharama ya kuziba ni shilingi ngapi maana sina bima. Please, anayefahamu ni bei gani naomba anijuze.
2. Njia bora ni ipi, kung'oa ama kuziba?
Naomba kuwasilisha.
Nilikinunua tabora mwaka Jana kinasaidia sana hasa kuondoa harufu mbaya mdomoniKidawa kipi hicho mkuu??? maana tabu nilopo nayo na nishauliz kuziba RED CROSS bei ni Shilingi 45000/= dah
Sent using Jamii Forums mobile app