Habari wakuu wa afya,
Nimezunguka kwenye hizi General hospital kubwa kubwa ila baada ya miezi 3-6 naenda tena kuziba jino kwenye fizi.
je ni Hospital gani Dental clinic kwa ajili ya Meno tuu hapa Dsm??? hospital nyingi wanabania dawa,Yaani hata kama unatumia bima au cash,
Labda cash sina hakika sanaa,
Ila Nahisi dawa wanazotumia Kuziba Fizi au utaalam wao ni mdogo.
Kuna dada mmoja aliwahi ribiwa jina huu mwaka wa 15Hajawahi rudia tena kuziba!
Alizibwa Huko Arusha hospital ya mission.
Nimezunguka kwenye hizi General hospital kubwa kubwa ila baada ya miezi 3-6 naenda tena kuziba jino kwenye fizi.
je ni Hospital gani Dental clinic kwa ajili ya Meno tuu hapa Dsm??? hospital nyingi wanabania dawa,Yaani hata kama unatumia bima au cash,
Labda cash sina hakika sanaa,
Ila Nahisi dawa wanazotumia Kuziba Fizi au utaalam wao ni mdogo.
Kuna dada mmoja aliwahi ribiwa jina huu mwaka wa 15Hajawahi rudia tena kuziba!
Alizibwa Huko Arusha hospital ya mission.