Hospitality Gani Nzuri ya Meno?

ikigijo

JF-Expert Member
Aug 23, 2017
1,821
1,874
Habari wakuu wa afya,
Nimezunguka kwenye hizi General hospital kubwa kubwa ila baada ya miezi 3-6 naenda tena kuziba jino kwenye fizi.
je ni Hospital gani Dental clinic kwa ajili ya Meno tuu hapa Dsm??? hospital nyingi wanabania dawa,Yaani hata kama unatumia bima au cash,
Labda cash sina hakika sanaa,
Ila Nahisi dawa wanazotumia Kuziba Fizi au utaalam wao ni mdogo.
Kuna dada mmoja aliwahi ribiwa jina huu mwaka wa 15Hajawahi rudia tena kuziba!
Alizibwa Huko Arusha hospital ya mission.
 
Dawa nzuri kwa meno Ili yawe imara....

Hakikisha unakula muwa kwa wingi....

Muwa asubuhi!
Muwa mchana!
Muwa jioni!

Na muwa USIKU!! (hii ni kwa jinsia zote)...

Ili kuimarisha afya ya KINYWA CHA CHINI!...
Ni hayo tu!
 
Habari wakuu wa afya,
Nimezunguka kwenye hizi General hospital kubwa kubwa ila baada ya miezi 3-6 naenda tena kuziba jino kwenye fizi.
je ni Hospital gani Dental clinic kwa ajili ya Meno tuu hapa Dsm??? hospital nyingi wanabania dawa,Yaani hata kama unatumia bima au cash,
Labda cash sina hakika sanaa,
Ila Nahisi dawa wanazotumia Kuziba Fizi au utaalam wao ni mdogo.
Kuna dada mmoja aliwahi ribiwa jina huu mwaka wa 15Hajawahi rudia tena kuziba!
Alizibwa Huko Arusha hospital ya mission.

Kwa kuwa upo Dar, nenda AlphaDent, ipo Magomeni Mapipa, jirani na Kituo cha mabasi ya mwendokasi
 
Nenda pale magomeni usalam kituoni pale pale cha mwendokas kasi pembeni wa utumishi house kuna clinic ipp floor ya tatu inaitwa "OMEGA DENTAL" wako njema sana
 
Screenshot_20230627-124549_Chrome.jpg
Screenshot_20230627-124537_Chrome.jpg
Screenshot_20230627-124517_Chrome.jpg
 
Habari wakuu wa afya,
Nimezunguka kwenye hizi General hospital kubwa kubwa ila baada ya miezi 3-6 naenda tena kuziba jino kwenye fizi.
je ni Hospital gani Dental clinic kwa ajili ya Meno tuu hapa Dsm??? hospital nyingi wanabania dawa,Yaani hata kama unatumia bima au cash,
Labda cash sina hakika sanaa,
Ila Nahisi dawa wanazotumia Kuziba Fizi au utaalam wao ni mdogo.
Kuna dada mmoja aliwahi ribiwa jina huu mwaka wa 15Hajawahi rudia tena kuziba!
Alizibwa Huko Arusha hospital ya mission.
ABC dental clinic ni zaidi ya kila kitu iko mikocheni B jirani na Fedha Nursery
 
Huenda jino lako halifai kuwepo mpaka sasa, lingepaswa liwe limeng'olewa kitambo lakini kwa kuwa haukuwa tayari kung'olewa hivyo madaktari wamekuwa wanafanya kile unachokitaka ili uridhike tu.
 
Habari wakuu wa afya,
Nimezunguka kwenye hizi General hospital kubwa kubwa ila baada ya miezi 3-6 naenda tena kuziba jino kwenye fizi.
je ni Hospital gani Dental clinic kwa ajili ya Meno tuu hapa Dsm??? hospital nyingi wanabania dawa,Yaani hata kama unatumia bima au cash,
Labda cash sina hakika sanaa,
Ila Nahisi dawa wanazotumia Kuziba Fizi au utaalam wao ni mdogo.
Kuna dada mmoja aliwahi ribiwa jina huu mwaka wa 15Hajawahi rudia tena kuziba!
Alizibwa Huko Arusha hospital ya mission.
Sintokaa nilisahau hili jibu lako ndugu mpaka naingia kaburini nilijua labda we huumwagi ndugu yangu?,,,sina hiana mi nakuombea upate ufumbuzi wa tatizo lako
 

Attachments

  • Screenshot_20230629-011820_Chrome.jpg
    Screenshot_20230629-011820_Chrome.jpg
    699.6 KB · Views: 38
Back
Top Bottom