Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,511
Hakika zoezi lijalo hii ndio itakuwa nyenzo, bila shaka haina shida kwa wanawake wenye maumbile madogo
Hakika zoezi lijalo hii ndio itakuwa nyenzo, bila shaka haina shida kwa wanawake wenye maumbile madogo
Nalikumbuka lile sauti la dmx halafu huku unakiwasha chini yaani unanata na mdundo kibabe unakandamiza kweli kweli bila wasi wasiRough Rider anthem
Hizo ndomu Nina aleji nayo sitaki hata kuzisikiaFiesta Max dotted... Haina mpinzani, Ina vipele Kama vyote. Full mikuno
SitaRough rider znauzwa bei gan na zpo ngapi kwny pakt
Condom ilipotelea ndani na bado mkaendelea kufanya yenu, akakojoa kipande?
Hii nayo kali.
ukiona kondom inapasuka ujue hujui jinsi ya kuivaa,kondomu huchani tu kwenye packet na kutumbukiza kwenye uume kuna hatua zake za uvaaji fata maelezo kwenye kiboksiNdugu wataalamu wiki iliyopita nimekutana na binti ambaye alikuwa ana uke mdogo sana na kupelekea Condom kupasuka mara mbili (Nilibadilisha).
Naombeni msaada wenu kama Mimi ndio natumia nguvu sana, nitumie mafuta, ama kuna Condom Kubwa zaidi, au kuna ushauri wowote
hakika hakika yan n shda mzeeJamani msitucheke sisi tunaouliza, hizi condom zinatufanya wengine tutumie hadi masaa 3 kutafuta bao moja, hii ni kero sana
hii ni aina mpya ya ndomu auKuna kitu kinaitwa Power play,kama hujaivaa ndom
sawa kabisa
pole mkuu,hii ukitulia kachek na kubwa lao .kupiga kavu risk sana kama sio mke wako.Huwaga niki sex natumia condom ila juzi nime sex bila condom najuta sababu nimepata U.t.i konk nahc yule demu amenipa yy dah imenigarimu elfu 25 kuitibu ,
Wanakataza kutumia vilainishi kwenye condom.nadhani yafaa kutumia kondomu pamoja na durex/ky jelly kwa pamoja
3 PCs bei 3000Rough rider znauzwa bei gan na zpo ngapi kwny pakt
Hizo ndomu Nina aleji nayo sitaki hata kuzisikia