Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,669
- 40,917
Amina mtumishi, nimezaliwa katika hii madhabahu, imenikuza, nimefanya utafiti wa kutosha kuhusiana na huko kwingine, nimeona nilipo ni mahali sahihi kwangu.Imani yako itakuponya
Amina mtumishi, nimezaliwa katika hii madhabahu, imenikuza, nimefanya utafiti wa kutosha kuhusiana na huko kwingine, nimeona nilipo ni mahali sahihi kwangu.Imani yako itakuponya
Maisha ndo haya haya
Zipo za rangi ya kijani na nyingine za blue
Ngamia iko wapi mkuuKwamba uzee umenikamata ama! Kukaa kwangu kote kigamboni, ratiba hii sina.
Inabidi tuanzishe hata ya kwetu mkuu! Performer nipo hapa 😛
Ngamia ilikuwepo big stone, ila naona siku hizi imekufa, wamehamia chadibwa wanajiita PWEZANgamia iko wapi mkuu
Nimetoka samaki samaki sasa hivi kumefurika balaaaSamaki Samaki...
Mlimani City au Masaki pembeni ya Lavant??Nimetoka samaki samaki sasa hivi kumefurika balaaa
Mlimani city wangu...bongo starehe ndo sebulen kwakeMlimani City au Masaki pembeni ya Lavant??
Okay!! Ila zote zinajaaga sana...Mlimani city wangu...bongo starehe ndo sebulen kwake
Leo j4 karaoke wapi?!Mlimani city wangu...bongo starehe ndo sebulen kwake
Duuh sasa forever young na hiki kiingereza cha Kayumba si unaweza kuumaliza kuimba baada ya robo saa.unaimba wimbo wa biti husika kama biti ni forever young ya jay z unaimba huo huo. kumbuka inakuwepo screen kubwa ambapo maneno ya huo wimbo yanapita unafanya kurudia tu. huku watu wanapata kinywaji na chakula.
Akitokea bwana yake wa jana unafanyaje?Aisee kumbe tuko wengi. Mimi nikifika bar natafuta mmoja mwenye kijungu kilicho tulia na mwambia na yeye apate kinywaji. Nikiagiza supu na mwambia nayeye aagize supu anayoitaka na beer ikianza kupanda nikitaka kuituliza na mshkaki na yeye pia huku nakagua shanga. Aluuh
Mkuu usile mboga Moja Kila siku.Kutokua na Permanent Partner ni ULEMAVU!!