Wakuu Nawasalimu,
Hiii teknolojia ya encyption huwa inanipa maswali mengi san. Kuna teknolojia mabalimbali kama MD5 na SHA-256 ambazo unaweza kutengeneza keys mbili.
Moja ni private key ambayo unakuwa nayo mwenyewe na nyingine ni public key. How comes siwezi kupata private key kutoka kwenye public key?
Hii encyption ya public key (hash) hakuna njia ya kuifanyia reverse engineering nikapata private key.
Kila mwanasayansi wa computer ninayeongea naye ananiambia this will need a quantum computer.
Kwa sasa IBM wana facility yao kwenye cloud ya quantum computing. Wajuzi tafadhali tupeane mawazo.
Hiii teknolojia ya encyption huwa inanipa maswali mengi san. Kuna teknolojia mabalimbali kama MD5 na SHA-256 ambazo unaweza kutengeneza keys mbili.
Moja ni private key ambayo unakuwa nayo mwenyewe na nyingine ni public key. How comes siwezi kupata private key kutoka kwenye public key?
Hii encyption ya public key (hash) hakuna njia ya kuifanyia reverse engineering nikapata private key.
Kila mwanasayansi wa computer ninayeongea naye ananiambia this will need a quantum computer.
Kwa sasa IBM wana facility yao kwenye cloud ya quantum computing. Wajuzi tafadhali tupeane mawazo.