ighalamu
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 393
- 643
Habari zenu wakuu,
Kuna kipindi cha nyuma kidogo nilikuwa namiliki blog yangu ila kutokana na sheria mpya iliyohitaji kulipia blog yangu ikanibidi nisitishe zoezi kidogo maana nikaona mambo yasiwe mengi kwa wakati ule.
Sasa hivi nimekuja na idea nyingine ambayo inafanana kidogo na ile ya mwanzo ila kwa sasa nataka nitengeneze website.
Swali nililo baki nalo kichwani ni je, utaratibu wa kumiliki/ kuhost website nao unataka uilipie kama blog? Na je kiasi unacho takiwa kulipia ndio kile kile au kuna utofauti? Je, kuna utaratibu wa ziada au sheria juu ya kumiliki/kuhost website?
Ahsanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kipindi cha nyuma kidogo nilikuwa namiliki blog yangu ila kutokana na sheria mpya iliyohitaji kulipia blog yangu ikanibidi nisitishe zoezi kidogo maana nikaona mambo yasiwe mengi kwa wakati ule.
Sasa hivi nimekuja na idea nyingine ambayo inafanana kidogo na ile ya mwanzo ila kwa sasa nataka nitengeneze website.
Swali nililo baki nalo kichwani ni je, utaratibu wa kumiliki/ kuhost website nao unataka uilipie kama blog? Na je kiasi unacho takiwa kulipia ndio kile kile au kuna utofauti? Je, kuna utaratibu wa ziada au sheria juu ya kumiliki/kuhost website?
Ahsanteni
Sent using Jamii Forums mobile app