Ukifika Ukerewe utashangaa na roho yako,unakijua kibambala?kikipikwa hcho kinanukia shombo humo ndani wiki tisa
Kanatoa kamvuke kwa mbali, na wala haiwezi kukupa Mafua tofauti na maspray yaoTunatumia humidifier my dear. Tunaweka essential oils kwenye humidifier wengine huziita diffuser and then hewa safi and pia it helps to relax.
Nzuri kwa afya pia.
Vinapatikana wap na bei yake ipoje?Kuna huu mshumaa
Halafu kuna hivi vijiti ambayo vinatema tu harufu nzuri sana ya manukato 24/7.
Hivi vijiti vyaitwa "seagrass diffusers".
Bei gan na znapatkana WAP?Ukiacha air fresheners za socket pia scented candles, natumia dried flowers zenye harufu nzuri..Unaweka kwenye chombo kimapambo kama picha hapo chini.
View attachment 429761 View attachment 429762
Pitapita mitaa ya kariakoo au uhindini.Vinapatikana wap na bei yake ipoje?
Mkuu we ni fala sanaππ π€£π ndo nimecheck comment yako kwakweli umenifuraishaLengo la kutaka nyumba kunukia (tofauti na uhalisia wake) huwa ni nini? Je ni kuficha harufu mbaya(ya uchafu)? Kama kuna uchafu unatoa harufu mbaya si ni bora kuutoa huo uchafu?
Exactly..Na nzuri kwa afya..Inasaidia kwenye relaxation piaKanatoa kamvuke kwa mbali, na wala haiwezi kukupa Mafua tofauti na maspray yao
πππWe jamaa bhana..yaani umeshindwa kuniuliza pale pale home mpaka uje JF!?
Anyways Mimi njia yangu ni simple saana, natumia njia natural and sustainable nimepanda maua madogo mazuri halisi kabisa pale sebuleni na baadhi ya maeneo ndani kwenye vikopo maalumu..maua hayo ni special kwa ajili ya home aromas..maua yanapatikana Spain, Italy and Turkey mostly yanaitwa Queen of the aromatic night...!
Ukija tena uniambie nikukatie kaua ukapande home kamche kamoja tu kanatosha kunukisha hata ghorofa. In case usiponikuta we chuma kajani kamoja kwa kuvizia akikisha mlinzi hakuoni maana hanaga dogo yule yero!
Usinichekeshe mimi kumbe adi wakerewe wapo jfsema umenikumbusha mbali kuna sehem nilikula iko kibambala nakwambia nilinawa na sabun lkn wapukerewe bwana haya bhna
Bei na zinapatikana wapTunatumia humidifier my dear. Tunaweka essential oils kwenye humidifier wengine huziita diffuser and then hewa safi and pia it helps to relax.
Nzuri kwa afya pia.
Kama una account insta.Wacheki AromaBei na zinapatikana wap
AsanteKama una account insta.Wacheki Aroma
Watafute hawaBei na zinapatikana wap
Ah si mchezoLengo la kutaka nyumba kunukia (tofauti na uhalisia wake) huwa ni nini? Je ni kuficha harufu mbaya(ya uchafu)? Kama kuna uchafu unatoa harufu mbaya si ni bora kuutoa huo uchafu?