Naomba kujua namna ya kuonana na Maofisa wa Waziri Mchengerwa

Nguva Jike

JF-Expert Member
Jan 22, 2018
853
1,005
Habari za mchana,

Naomba mnielekeze namna ya kuonana na Maofisa wa Waziri Mchengerwa huko Dodoma.

Mnielekeze pia nianzie wapi namna ya kuweka appointment au urahisi wa kuonana na Waziri Mchengerwa kabisa bila ya appointment.

Ni jinsi gani ya kupambana na vizuizi vya watakaotaka nisifanikiwe kuonana nae nk.

Lengo langu ni zuri ikishindikana nitajivalisha mabango mwili mzima yanayoeleza shida ya kuonana nae na kujianika mitandao yote.

Naomba mnisaidie wote wapenda maendeleo.
 
Habari za mchana,

Naomba mnielekeze namna ya kuonana na Maofisa wa Waziri Mchengerwa huko Dodoma.

Mnielekeze pia nianzie wapi namna ya kuweka appointment au urahisi wa kuonana na Waziri Mchengerwa kabisa bila ya appointment.

Ni jinsi gani ya kupambana na vizuizi vya watakaotaka nisifanikiwe kuonana nae nk.

Lengo langu ni zuri ikishindikana nitajivalisha mabango mwili mzima yanayoeleza shida ya kuonana nae na kujianika mitandao yote.

Naomba mnisaidie wote wapenda maendeleo.
Hauna haja ya kwenda dodoma wakati unajua kutumia JF wewe funguka hapa JF yeye mwenyewe atona tatizo lako utatafutwa
 
Hauna haja ya kwenda dodoma wakati unajua dkutumia JF wewe funguka hapa JF yeye mwenyewe atonal tatizo lako a utatafutwa
Nahitaji kuonana nae ana kwa ana nimkabidhi rundo la nyaraka zangu ili mwaka 2024 uwe ndio mwisho wa utumishi wangu kwa nitakacho mpelekea mezani kwake.
 
Nahitaji kuonana nae ana kwa ana nimkabidhi rundo la nyaraka zangu ili mwaka 2024 uwe ndio mwisho wa utumishi wangu kwa nitakacho mpelekea mezani kwake.
Kama una ushahidi andika hapa hapa shida yako itakuwa solved na sema nyaraka ninazo utasaidiwa hii ya kwenda kumuona utamuona na unaweza usisaidiwe ukaishia kulaumu JF ina nguvu sana
 
Kama una ushahidi andika hapa hapa shida yako itakuwa solved na sema nyaraka ninazo utasaidiwa hii ya kwenda kumuona utamuona na unaweza usisaidiwe ukaishia kulaumu JF ina nguvu sana
Nina ushahidi kutoka kwa walioamua kwenda wenyewe na jinsi walivyosikilizwa shida zao. Kutaka kwenda ni msisitizo wa shida yangu iliyodumu kwa miaka 8 na mwaka huu ukiisha unakuwa mwaka wa tisa ulioambatana na shida kubwa kabisa ya mwaka huu.
 
Kama una ushahidi andika hapa hapa shida yako itakuwa solved na sema nyaraka ninazo utasaidiwa hii ya kwenda kumuona utamuona na unaweza usisaidiwe ukaishia kulaumu JF ina nguvu sana
Utanisamehe bosi shida huripotiwa ngazi kwa ngazi DODOMA ni moja ya ngazi hizo inanibidi nifike tu hakuna namna.
 
Habari za mchana,

Naomba mnielekeze namna ya kuonana na Maofisa wa Waziri Mchengerwa huko Dodoma.

Mnielekeze pia nianzie wapi namna ya kuweka appointment au urahisi wa kuonana na Waziri Mchengerwa kabisa bila ya appointment.

Ni jinsi gani ya kupambana na vizuizi vya watakaotaka nisifanikiwe kuonana nae nk.

Lengo langu ni zuri ikishindikana nitajivalisha mabango mwili mzima yanayoeleza shida ya kuonana nae na kujianika mitandao yote.

Naomba mnisaidie wote wapenda maendeleo.
Nenda ofisini kwake dodoma
 
Pole sana kwa hiyo adha,ukifika stendi kuu ya Dodoma,panda gari zinazokwenda MJI WA SERIKALI,bilashaka nauli ni Tsh.1500/=,ukifika mji wa serikali,chukua bodaboda au bajaji,ambayo utachajiwa nauli Tsh.1000/= hadi kukufikisha kwenye jengo la wizara husika.
Asante kwa maelekezo yako mazuri.
 
Habari za mchana,

Naomba mnielekeze namna ya kuonana na Maofisa wa Waziri Mchengerwa huko Dodoma.

Mnielekeze pia nianzie wapi namna ya kuweka appointment au urahisi wa kuonana na Waziri Mchengerwa kabisa bila ya appointment.

Ni jinsi gani ya kupambana na vizuizi vya watakaotaka nisifanikiwe kuonana nae nk.

Lengo langu ni zuri ikishindikana nitajivalisha mabango mwili mzima yanayoeleza shida ya kuonana nae na kujianika mitandao yote.

Naomba mnisaidie wote wapenda maendeleo.
Nenda moja kwa moja utumishi. Muombe PS akuruhusu kuonana na Mh. Waziri, ingawa mtendaji Mkuu ni Katibu Mkuu na anaweza kukusaidia.
Pia ukifika Dodoma ukakwama kumuona, usirudi patupu. Wapo wakurugenzi wa kila nyanja. Pale Mtumba na UDOM pia.
Tatizo lako linaweza kutatuliwa na Wasaidizi wa Waziri kwa urahisi zaidi. Waziri ni ngazi ya rufaa iwapo umekwama huku chini.
Pia ukumbuke kwamba, ukifika utumishi, mwajiri wako atapigiwa simu hivyo jiridhishe kwamba anao ufahamu wa suala lako na ameshindwa kulitatua kwa ngazi yake.
Mwisho kabisa, kumbuka kuomba ruhusa kwa mwajiri wako ili usifunguliwe shauri la utoro kazini wakati upo Dodoma.
Kila la kheri.
 
Nenda moja kwa moja utumishi. Muombe PS akuruhusu kuonana na Mh. Waziri, ingawa mtendaji Mkuu ni Katibu Mkuu na anaweza kukusaidia.
Pia ukifika Dodoma ukakwama kumuona, usirudi patupu. Wapo wakurugenzi wa kila nyanja. Pale Mtumba na UDOM pia.
Tatizo lako linaweza kutatuliwa na Wasaidizi wa Waziri kwa urahisi zaidi. Waziri ni ngazi ya rufaa iwapo umekwama huku chini.
Pia ukumbuke kwamba, ukifika utumishi, mwajiri wako atapigiwa simu hivyo jiridhishe kwamba anao ufahamu wa suala lako na ameshindwa kulitatua kwa ngazi yake.
Mwisho kabisa, kumbuka kuomba ruhusa kwa mwajiri wako ili usifunguliwe shauri la utoro kazini wakati upo Dodoma.
Kila la kheri.
Hongera Mkuu! Huu ndo Ushauri wa kumpatia mwenzio,congole sanaaaaa
 
Back
Top Bottom