Azimio la kazi
Senior Member
- Jun 7, 2023
- 138
- 451
Wakuu habarini,
Niende kwenye mada moja Kwa Moja, Wakuu naomba msaada nahitaji kuonana na Rais Samia Suluhu Hassan na jambo muhimu sana natamani ni mwambie physically. Ikishindikana basi nionane na waziri mkuu ndugu Kassimu Majaliwa Kassimu.
Lakini sifahamu utaratibu na namna ya kuonana na hao wakuu
Naombeni muongozo.
===
Niende kwenye mada moja Kwa Moja, Wakuu naomba msaada nahitaji kuonana na Rais Samia Suluhu Hassan na jambo muhimu sana natamani ni mwambie physically. Ikishindikana basi nionane na waziri mkuu ndugu Kassimu Majaliwa Kassimu.
Lakini sifahamu utaratibu na namna ya kuonana na hao wakuu
Naombeni muongozo.
===
Baada ya kuomba utaratibu wa kuonana na Mhe: Daktari Samia Suluhu Hassan na Waziri mkuu, Wana jf wengi wamenidhihaki na kushidwa kunionesha namna au utaratibu ulivyo.
Hivyo basi nimeona ni vema ujumbe niliotaka kufikisha kwa Rais na Waziri mkuu nataka niuweke kwenye hard copy Kisha niutume ikulu kupitia posta.
Japo kuwa document hiyo ni kubwa sana, it's like a report, naamini njia hii itakuwa Sahihi kufikisha ujumbe huu muhimu sana.
Ujumbe wangu sio madai, Wala sio kwamba nadai haki yangu hapana.
Kwa Mungu wa taifa langu Amen