nerilan
JF-Expert Member
- Dec 11, 2013
- 469
- 713
Hao jamaa ni shida. Gypsum board unakata na msumeno kama mbao na haichambuki chambuki kama nyingineMkuu nunua Gyproco huyu ndio anatisha kwa soko la sasa...
Anaemfuata hapo ni Standard, mimi kwangu nikifunga Standard ziko vizuri pia...
NB: Usinunue Gypsum board kutoka naskia si nzuri hata wakati wa kukata zinamong'onyoka (Low quality)...
Kwa ushauri wangu ukitaka nyumba yako iwe vizuri weka gyproco au standard...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app