Mkuu, hebu nijuze Bei za hizo gyproc kwa Sasa? Na standard Thailand zinaenda kwa sh ngapi?View attachment 1770968
Nna kproject kangu nataka nimalizie. Nimeulizia bei za moshi ni Elfu 23 kwa Gyproc hadi nimedata
Mkuu, hebu nijuze Bei za hizo gyproc kwa Sasa? Na standard Thailand zinaenda kwa sh ngapi?View attachment 1770968
Nna kproject kangu nataka nimalizie. Nimeulizia bei za moshi ni Elfu 23 kwa Gyproc hadi nimedata
Nami naomba hiyo connectionSawa mkuu hakuna shida
Nasikia Rwanda zina soko sana izi board za Tz,Mkuu hazigongewi, zinfungwa kwa sikurubu.
Huku kwetu za TZ zipo juu kuliko za mchina.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli ndugu[emoji1666]Ni kweli mkuu. Kama yuko vizuri gypsum board ya Thailand iko vizuri. Maana ni ngumu, unakata na msumeno na haichambuki kama zifanyavyo zingine.
Pia ina tolerate sana maji endapo kuna lekage
Sent using Jamii Forums mobile app
Zipoje hizMkuu nunua Gyproco huyu ndio anatisha kwa soko la sasa...
Anaemfuata hapo ni Standard, mimi kwangu nikifunga Standard ziko vizuri pia...
NB: Usinunue Gypsum board kutoka naskia si nzuri hata wakati wa kukata zinamong'onyoka (Low quality)...
Kwa ushauri wangu ukitaka nyumba yako iwe vizuri weka gyproco au standard...
Sent using Jamii Forums mobile app
ThailandWeka za kichina ata za Tanzania ubora ni ule ule kikubwa fundi!